Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 3,562
- 6,117
Kigoma alikuja watu wakawa hawana time nae akasepa kimyakimyaMimi huku niliko bado sijaona kabisa amshaamsha ya huyo jamaa.
note kigoma mjini mbunge ni zitto
Urais JPM
Kigoma alikuja watu wakawa hawana time nae akasepa kimyakimyaMimi huku niliko bado sijaona kabisa amshaamsha ya huyo jamaa.
Kwahiyo risasi 16 ndio kigezo cha kupendwaMrema, Slaa na Lowassa mliwai kuwapiga risasi 16????
Nyie mlivyokuwa mkimpigq hamkuwaza ilo??Kwahiyo risasi 16 ndio kigezo cha kupendwa
Sasa hapa Ubinti wa kisukuma umetoka wapi??Sawa binti wa kisukuma
Haya Masuala ya kutugawa kidini ndio huwa hatuyataki kabisa katiki nchi hii.Utafiti : 60%--70% ya Wakristo hapa Tanzanian watapigia kura CHADEMA
70%--80% ya Waislamu wenzangu watapigia kura CCM
Hii inaashiria ushindi wa kidhindo kwa CCM pamoja na kua:--
1 kuna masheikh wengi wapo gerezani wanateswa bila kupelekwa mahakamani
2 nyadhifa serikalini kwa Sasa waislamu ni 18%-20% tofauti wakati wa Jakaya waislamu serikalini walikua 30%
3 kwa miaka mitano Ya Magufuli waislamu wengi wameshikiliwa kwa tuhuma za ugaidi hapa Tanzania kuliko Afghanistan na Iraq
Sheikh Issa Ponda Ambae ni mwanaharakati wa kiislamu baada ya kutoa waraka wa maimamu Sasa hivi anaendesha BMW mpya kawatelekeza masheikh waliopo jela hivi Sasa ni mwanaharakati mkubwa wa JPM
Waislamu wenzangu nini shida yetu?
Elimu na umasikini
Ukiongelea waislamu Tanganyika inamaana unazungumzia jamii masikini na darasa la 7
Suhanallah Wabihamdi
Suhanallah Aladhiim
Hint...Angekuwa hana jipya, usingemfungulia Uzi .
Jibu zuri!Angekuwa hana jipya, usingemfungulia Uzi .
Kama anapendwa sana kwa nini "posts" za picha zake ziko hadi chooni?Mimi sina chama ila CCM na Magufuli wanapendwa sana na watanzania.
Vyama vingine bado sana