Uchaguzi 2020 Lissu dume la ng'ombe analolichinja halifungiki kwa kamba. Japo litakata roho lakini mateke yake lazima yamjeruhi.

T2020

Senior Member
Jul 15, 2020
131
328
Kuondoa vyama tawala madarakani ni shughuli pevu hasa kwa nchi za Afrika. Vimekumpatia mfumo usio wa usawa na haki. Vyombo vinavyosimamia uchaguzi viko chini yake. Uaoma kwa undani kwa nini na imekuwaje sasa pamoja na kumiliki vyombo vyote vinavyosimamia uchaguzi, vyombo vya usalama, mahakama n. k. Lakini bado vyama kadha tawala vimepokonywa madaraka na vyama pinzani utakubaliana na mimi kuwa kwa sababu hizo hizo hata CCM mwaka huu inaenda kuanguka. Wajuvi wa siasa za Afrika na za kimataifa kama akina mzee Kikwete wanaelewa CCM inaondoka madarakani. Misukosuko anayoipata Lissu anayeenda kuwa Rais wa nchi hiii itaendelea kuongezeka zaidi. Vyombo vya dola, NEC, watendaji wa serilali ni miguu iliyobeba limwili (CCM). Miguu hii lazima irushe mateke na mchinjaji (Lissu) ni wale wanaomsaidia lazima wajeruhiwe. Lakini yote kwa yote ng'ombe lazima afe.
 
Kuondoa vyama tawala madarakani ni shughuli pevu hasa kwa nchi za Afrika. Vimekumpatia mfumo usio wa usawa na haki. Vyombo vinavyosimamia uchaguzi viko chini yake. Uaoma kwa undani kwa nini na imekuwaje sasa pamoja na kumiliki vyombo vyote vinavyosimamia uchaguzi, vyombo vya usalama, mahakama n. k. Lakini bado vyama kadha tawala vimepokonywa madaraka na vyama pinzani utakubaliana na mimi kuwa kwa sababu hizo hizo hata CCM mwaka huu inaenda kuanguka. Wajuvi wa siasa za Afrika na za kimataifa kama akina mzee Kikwete wanaelewa CCM inaondoka madarakani. Misukosuko anayoipata Lissu anayeenda kuwa Rais wa nchi hiii itaendelea kuongezeka zaidi. Vyombo vya dola, NEC, watendaji wa serilali ni miguu iliyobeba limwili (CCM). Miguu hii lazima irushe mateke na mchinjaji (Lissu) ni wale wanaomsaidia lazima wajeruhiwe. Lakini yote kwa yote ng'ombe lazima afe.
Lissu nitampa kura yangu
 
Kuondoa vyama tawala madarakani ni shughuli pevu hasa kwa nchi za Afrika. Vimekumpatia mfumo usio wa usawa na haki. Vyombo vinavyosimamia uchaguzi viko chini yake. Uaoma kwa undani kwa nini na imekuwaje sasa pamoja na kumiliki vyombo vyote vinavyosimamia uchaguzi, vyombo vya usalama, mahakama n. k. Lakini bado vyama kadha tawala vimepokonywa madaraka na vyama pinzani utakubaliana na mimi kuwa kwa sababu hizo hizo hata CCM mwaka huu inaenda kuanguka. Wajuvi wa siasa za Afrika na za kimataifa kama akina mzee Kikwete wanaelewa CCM inaondoka madarakani. Misukosuko anayoipata Lissu anayeenda kuwa Rais wa nchi hiii itaendelea kuongezeka zaidi. Vyombo vya dola, NEC, watendaji wa serilali ni miguu iliyobeba limwili (CCM). Miguu hii lazima irushe mateke na mchinjaji (Lissu) ni wale wanaomsaidia lazima wajeruhiwe. Lakini yote kwa yote ng'ombe lazima afe.
Kumchinja ng'ombe kunahitahi timing
 
Kuondoa vyama tawala madarakani ni shughuli pevu hasa kwa nchi za Afrika. Vimekumpatia mfumo usio wa usawa na haki. Vyombo vinavyosimamia uchaguzi viko chini yake. Uaoma kwa undani kwa nini na imekuwaje sasa pamoja na kumiliki vyombo vyote vinavyosimamia uchaguzi, vyombo vya usalama, mahakama n. k. Lakini bado vyama kadha tawala vimepokonywa madaraka na vyama pinzani utakubaliana na mimi kuwa kwa sababu hizo hizo hata CCM mwaka huu inaenda kuanguka. Wajuvi wa siasa za Afrika na za kimataifa kama akina mzee Kikwete wanaelewa CCM inaondoka madarakani. Misukosuko anayoipata Lissu anayeenda kuwa Rais wa nchi hiii itaendelea kuongezeka zaidi. Vyombo vya dola, NEC, watendaji wa serilali ni miguu iliyobeba limwili (CCM). Miguu hii lazima irushe mateke na mchinjaji (Lissu) ni wale wanaomsaidia lazima wajeruhiwe. Lakini yote kwa yote ng'ombe lazima afe.
IMG-20201001-WA0021.jpg
 
Iko hivi chama kinachomiliki nguvu ya umma ndicho kinachomiliki dola , chama kinachomiliki dola bila nguvu ya umma Ni chama mfu Ni sawa na kujenga msingi wa nyumba kwa mabua
 
Meko ameikaribia The Hague. Urais anakosa kisha akamalizie maisha yake yaliyobaki huko korokoroni aliko Bosco Ntaganda.
Hakuna mtanzania anaekubaliana na USHOGA na UBEBERU.
Mwambien kuanzia tarehe 28 ajiandae kuliwa tigo yake na mabeberu baada ya kufedheheshwa na watanzania
 
Ingekuwa Jamii Forums inasaidia kupatikana kwa Raisi wa Tanzania, Edward Lowassa angekuwa ndo anagombania muhula wa pili. Humu kuna watu wameshakuwa mazezeta. Eti wanaamini Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Ni hivi Lissu hatakaa awe Raisi wa JMT sio 2020 bali ni NEVER. Hatakaa awe Raisi wa nchi hii. Endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe. November 1 mtakuwa humu na visingizio kibaooo.
 
Ndoto zangu zote huwa zinatimia lakini nilichoota juu ya uchaguzi huu, matokeo yake na yatakayofuata siombei hii ndo i-come true.
Mbuyu ule wa katikati unaweza ondoka na mtu, tuombee tu udondoke willingly pasipo kumjeruhi mtu yeyote atakayekuwa karibu
 
Ingekuwa Jamii Forums inasaidia kupatikana kwa Raisi wa Tanzania, Edward Lowassa angekuwa ndo anagombania muhula wa pili. Humu kuna watu wameshakuwa mazezeta. Eti wanaamini Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Ni hivi Lissu hatakaa awe Raisi wa JMT sio 2020 bali ni NEVER. Hatakaa awe Raisi wa nchi hii. Endeleeni kujitekenya na kucheka wenyewe. November 1 mtakuwa humu na visingizio kibaooo.
Hilo linajulikana ndio maana watu wanaandaa plan B" unafikiri kukitoa chama Dola madarakani ni kazi rahisi? Kuna wimbo huko iringa umetungwa wa msigwa unatumika kumatch, wanautengeneza uwe wa nchi nzima watu waanze kumatch * Chadema hi,hi hihi, hi,hihi, hi.......wanasema wanajua atatangazwa na vyombo vya dola., ile kauli hamwachii Mungu sio ya kujifurahisha, Leo anawachongea kwanza kwa mabalozi, baadae watanzania waliokandamizwa wataingia barabarani, mara baada ya mfalme yule kutangazwa na vyombo vya dola kwamba kashinda..
 
Hilo linajulikana ndio maana watu wanaandaa plan B" unafikiri kukitoa chama Dola madarakani ni kazi rahisi? Kuna wimbo huko iringa umetungwa wa msigwa unatumika kumatch, wanautengeneza uwe wa nchi nzima watu waanze kumatch * Chadema hi,hi hihi, hi,hihi, hi.......wanasema wanajua atatangazwa na vyombo vya dola., ile kauli hamwachii Mungu sio ya kujifurahisha, Leo anawachongea kwanza kwa mabalozi, baadae watanzania waliokandamizwa wataingia barabarani, mara baada ya mfalme yule kutangazwa na vyombo vya dola kwamba kashinda..
Kama unaamini Kuna mtanzania wa kuingia barabarani kwa ajili ya Lissu fikiria mara 2. Wabongo Wana mkwara mitandaoni kujazana ujinga, ukifika muda wa action kila mtu anamsikilizia mwenzake. Nakuhakikishia hakuna mtanzania wa kuingia barabarani. Wabongo mmejaa mitandaoni tu na CCM inajua hilo ndo maana inawachezesha kwata.
 
Kuondoa vyama tawala madarakani ni shughuli pevu hasa kwa nchi za Afrika. Vimekumpatia mfumo usio wa usawa na haki. Vyombo vinavyosimamia uchaguzi viko chini yake. Uaoma kwa undani kwa nini na imekuwaje sasa pamoja na kumiliki vyombo vyote vinavyosimamia uchaguzi, vyombo vya usalama, mahakama n. k. Lakini bado vyama kadha tawala vimepokonywa madaraka na vyama pinzani utakubaliana na mimi kuwa kwa sababu hizo hizo hata CCM mwaka huu inaenda kuanguka. Wajuvi wa siasa za Afrika na za kimataifa kama akina mzee Kikwete wanaelewa CCM inaondoka madarakani. Misukosuko anayoipata Lissu anayeenda kuwa Rais wa nchi hiii itaendelea kuongezeka zaidi. Vyombo vya dola, NEC, watendaji wa serilali ni miguu iliyobeba limwili (CCM). Miguu hii lazima irushe mateke na mchinjaji (Lissu) ni wale wanaomsaidia lazima wajeruhiwe. Lakini yote kwa yote ng'ombe lazima afe.
Mwaka huu lazima alale chini kashaanza kupiga magoti
 
Back
Top Bottom