Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,155
Wakuu heshima sana,
Sheria Number 5 ya mwaka 1992 viongozi ngazi ya kitaifa wa fursa ya kuwanadi wagombea Ubunge & Udiwani nchi nzima.
Kwakuwa Tume ya Uchaguzi imemzuia Lissu kufanya kampeni kwa siku saba, Lissu atatumia nafasi yake ya Makamu Mwenyekiti Taifa kuwanadi wagombea Ubunge na Udiwani.
Ukijua hili wenzako wanajua kule
Ngongo safarini Zanzibar Kibanda maiti.
Sheria Number 5 ya mwaka 1992 viongozi ngazi ya kitaifa wa fursa ya kuwanadi wagombea Ubunge & Udiwani nchi nzima.
Kwakuwa Tume ya Uchaguzi imemzuia Lissu kufanya kampeni kwa siku saba, Lissu atatumia nafasi yake ya Makamu Mwenyekiti Taifa kuwanadi wagombea Ubunge na Udiwani.
Ukijua hili wenzako wanajua kule
Ngongo safarini Zanzibar Kibanda maiti.