Lissu awapa tafakuri nzito wananchi wa Dodoma

Alimuua chacha wangwe, Azory gwanda, akampiga risasi Lisu spate kiki za kisiasa na lichama lenu limedoda Jana watu walikuwa kiduuuuuchu kengeee ww
Kiduchu eee ?
IMG-20200904-WA0172.jpg
IMG-20200904-WA0151.jpg
 
John kaingiwa mchecheto kinyama yaani!
Tatizo ni mabeberu. Kura mbona NEC yao wangeweza iba tu. Baada ya Marekani kuleta balozi kachero na Uingeleza nao Prof. Kabudi kampokea jana. Wameamua miaka 5 imemtosha.
 
Back
Top Bottom