Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,662
- 102,693
Of course kwenye hilo la Chadema kuamini mtu badala nakuunga mkono.
Hiyo ni formula ya kiulimwengu, hata waisilamu na wakristo wanaamini mtu ambao ni Mohamed SAW NA Yesu kristo. Leo hii Yesu na Mtume wafufuke na kuanzisha dini nyingine, uone kama uisilamu na ukristo atabaki mtu. Slaa alikuwa na uwezo wa kuondoka na watu iwapo angehamia chama kingine cha upinzani, lakini alipokubali kufunga ndoa na ccm, ndio maana leo akiongea na watu waliokuwa wakimuamini akiwa cdm anaonekana kichekesho, hata hoja zake ziwe na mashiko vipi, bado anaonekana kichekesho tu.