Lissu atafungua mashauri mbele ya ICC kuchunguza shambulio lake

Inawezekana kabisa. Kinachotakiwa ni kwanza ni majibu ya maswali haya:

• Kuna mauaji na mateso ya raia?

• Serikali na ilichukua hatua ya kuchunguza na kuwafikisha watuhumiwa kwenye vyombo vya sheria (mahakama)?

Kama kuna uthibitisho kuwa kuna mateso na mauaji ya raia yenye sura ya kuratibiwa na kufadhiliwa na dola na kutekelezwa, yet serikali haikuchukua hatua yoyote....

Na kama kweli mtu binafsi anaweza kufungua shauri, then hili jambo kumbe linawezekana!!

Kwa upande mwingine, kisheria kwa zile za ndani na za kimataifa, Tundu Lissu sina shaka naye kabisa. Anaweza tena zaidi ya kuweza hadi kwenye ushindi!!
Non sense, Nimesoma International Criminal Law sambamba na International Humanitarian Law.Hakuna matching elements yyt kwa hapa kwetu Tanzania ambayo inaashiria kuwepo kwa international crimes !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana kabisa. Kinachotakiwa ni kwanza ni majibu ya maswali haya:

• Kuna mauaji na mateso ya raia?

• Serikali na ilichukua hatua ya kuchunguza na kuwafikisha watuhumiwa kwenye vyombo vya sheria (mahakama)?

Kama kuna uthibitisho kuwa kuna mateso na mauaji ya raia yenye sura ya kuratibiwa na kufadhiliwa na dola na kutekelezwa, yet serikali haikuchukua hatua yoyote....

Na kama kweli mtu binafsi anaweza kufungua shauri, then hili jambo kumbe linawezekana!!

Kwa upande mwingine, kisheria kwa zile za ndani na za kimataifa, Tundu Lissu sina shaka naye kabisa. Anaweza tena zaidi ya kuweza hadi kwenye ushindi!!
Hapa Lissu hayuko peke yake bali ana support ya watu wengi tu wasiopenda ukatili wa Magu na vibaraka wake.
 
Nakujua Hauna Akili

Sent using Jamii Forums mobile app
ICC hawahangaiki na uhalifu wa mtu mmoja mmoja.... Ili iingie lazima pawepo na dalili na viashiria vinavyoonyesha kwamba kuna jamii fulani inatishiwa uwepo wake...

Hii ya TAL ni uhalifu wa kawaida ambao kila leo unatokea hata Marekani na Uingereza kila leo...

Kenya kwa mfano, au hata Uganda matukio ya watu maarufu kushambuliwa ama na wahalifu au vyombo rasmi yanatokea kila leo na ICC Hawajawahi kuhusika na mashauri ya namna hiyo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni propaganda tu maana ,Under international criminal law ICC ina mamlaka (Jurisdiction) ya kuskiiza mashtaka manne tu,
i) Genocide
ii) Aggression
iii) War Crime
iv) Crime against Humanity.
Ambayo hakuna lolote kati ya halo Tanzania au viongoz wake wanaeza kuwa charged of.Pili, ICC kwa mujibu wa Rome Statute ambayo ndio imeanzisha hii mahakama haina primary jurisdiction kudeal na hayo makosa ni mpaka kuwe na mazingira yafuatayo.
i) Trigger mechanism endapo mahakama na mamlaka za ndani zimeshindwa kuendesha mashtaka dhidi ya wahusika wa makoswa tajwa hapo juu,
ii) By UN SECURITY COUNCIL REFERRAL kwamba balaza la usalama la umoja wa mataifa lipitishe azimio na kuiamuru mahakama ya ICC kuanza uchunguzi kitu ambacho pia kwetu hakipo.
Nadhani ni siasa na propaganda tu kama Maalim Seif kwenda ICC kupinga uchaguzi wa Zbar
#MababichaAkiliZaoZimejaaVumbiKichwani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo roman wani (i) umeandika wewe kweli au Mods wamekuchomekea; mbona kama haujaiona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Non sense, Nimesoma International Criminal Law sambamba na International Humanitarian Law.Hakuna matching elements yyt kwa hapa kwetu Tanzania ambayo inaashiria kuwepo kwa international crimes !

Sent using Jamii Forums mobile app

Hata hao wanasheria wanaoshindwa kesi mahakamani nao walisoma aheria pia!.
Huenda safari hii hili hulijui, hebu nenda kabukue zaidi!
 
Mkipata nafasi fuatilia mahojiano haya ya Baba wa Taifa na Saed Naqvi kutoka India.

 
Mwambie TL aulize ushauri kwanza kwa Maalim Seif aliahidi kufungua kesi huko baada tu ya uchaguzi 2015, keshaenda mpaka huko UNO na mwaka huu 2019 tuna ingia duru nyingine ya uchaguzi bila ya mrejesho.

Haya mambo yana gharama zake TL na jeuri na dharau zake tele kainamishwa na sasa bila soni anapigia chapuo Ushoga si mchezo mchezo.
Ushoga mbona nyie ndio mnauendekeza? Kule uvccm nasikia mumeharibu sana watoto wa watu, zaidi ya 70% ya vijana mnawashikisha ukuta na kubwa lao lile lenye mabwana mpaka Mombasa mmelipa ukatibu mkoa! Kina DAB wamefyatua hadi kibinda nkoi kamzidi Snura. Halafu Lissu anazungumzia sheria zetu mnageuza maneno kwa vile lugha aliyotumia hamuielewi mnajuwa intaperenyuwa tuu basi mnageuza maneno maneno tuu
 
Kusema ICC ianze kudeal na issue za kijinai za mtu mmoja mmoja ni kuiongezea mzigo ICC. Na ndo maana mjadala mkubwa katika ulimwengu wa International Criminal Law ni kwann ICC haijapewa mamlaka ya kuskiiza haya mashauri,
i) Terrorism (ugaidi)
ii) Piracy (uhalamia)
Ili kuongeza makosa kuwa sita kutoka ya sasa manne ya sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom