Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,184
- 2,471
Hakuna uchunguzi. Walishasema eti alishambuliwa na wana CDM wenziwe. Uhuni mtupu.Nadhani hapa serikali inatakiwa impate aliyemshambulia Lisu ili kulifuta hili wingu, angalau waseme tuu uchunguzi/upelelezi wake umefikia wapi.