IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,216
- 1,906
Asante kwa clip. Ndio njia iliyobaki kusikia sauti za wasio na mamlaka
Mkuu acha mahakimu, leo Maafisa waandamizi wa JWTZ wamemuambia CDF Mabeyo kwamba analihiriki Jeshi, ameliingiza kwenye siasa chafu za ccmMwambieni Magufuli amkamate ndio mtajua hamjui bado,Mahakimu si kawateua yeye,ampeleke mahakamani tuone
Wala hakuna anae wachokoza mnajichokoza wenyewe.Sisi tunachowezakusema ni hiki - kuwa Lissu alipigwa risasi hizo 16 za ndege na wenzake kwa lengo la kumfanyia njia ya kwenda Ulaya kutayarishwa kwa haya afanyayo na asemayo kwa nia na lengo OVU na kutaka kuichokza Serikali na vyombo vya dola, LAKINI wote wanajua anachotafuta, hivyo wameamua kumnyamazia tu!
Huu nao ni uchichezi hatari sanaSerikali inashughulika pale wanapo uawa au kuumizwa wanaccm. Hapo watakamatwa kama wote tena wa upinzani tu .
Una hakika gani kwamba anazushiwa na kwamba ni uongo na uzandiki?Kwa nini anamzushia Mh Rais mambo ya hovyo,uongo na uzandiki mkubwa namna hii?
Inafikirisha au siyo. Hawana namna...Lisu asiachwe aeneze uchochezi huu ?
Eti anaropoka, hivi mropokaji-in-chief humjui? Subirini safari hii mtakuwa wapole kama mmemwagiwa maji baridi. Maji yanachemka jikoni.Naviomba vyombo vya uchuguzi vimuache amalize kampeni asipate kiki ila akimaliza wamtaiti mpaka aache kuropoka
Aisee kumbe wajeda nao wamekinukisha?Mkuu acha mahakimu, leo Maafisa waandamizi wa JWTZ wamemuambia CDF Mabeyo kwamba analihiriki Jeshi, ameliingiza kwenye siasa chafu za ccm
Wewe dada hujielewi kabisaUna hakika gani kwamba anazushiwa na kwamba ni uongo na uzandiki?
Inafikirisha au siyo. Hawana namna...
Eti anaropoka, hivi mropokaji-in-chief humjui? Subirini safari hii mtakuwa wapole kama mmemwagiwa maji baridi. Maji yanachemka jikoni.
Hata muanzisha mada anaujua ukweli huu vilivyo.Kuna mahakama gani ya kushughulikia huo ukweli wa Lisu hapa nchini? Alichosema Lisu ni ukweli kwa 100%. Na hili wananchi wote wanalijua, ila kwa sasa wako kimya kuhofia usalama wao. Imeisha hiyo.
..serikali kujiweka kando wakati TL akihitaji kuwahishwa Nairobi. WHY?
Acha utoto, Dereva wa Lissu anaouwezo gani wa kuamrisha askari wanaolinda lango la nyumba za viongozi kwa masaa 24 siku saba za wiki siku ile waondoke katika lindo hilo?.Unajua sababu za Chadema na Lissu kumficha shahidi namba moja aliyekuwepo eneo la tukio!? Shahidi namba moja ni dereva wake Lissu aliyekuwepo kwenye eneo la tukio nakulishuhudia kwa macho!
Hapo utasikia bwana Pole pole anatoa maagizo kwa jeshi la polisi,Serikali inashughulika pale wanapo uawa au kuumizwa wanaccm. Hapo watakamatwa kama wote tena wa upinzani tu .
Sisi tunachowezakusema ni hiki - kuwa Lissu alipigwa risasi hizo 16 za ndege na wenzake kwa lengo la kumfanyia njia ya kwenda Ulaya kutayarishwa kwa haya afanyayo na asemayo kwa nia na lengo OVU na kutaka kuichokza Serikali na vyombo vya dola, LAKINI wote wanajua anachotafuta, hivyo wameamua kumnyamazia tu!
Muda wote amekuwa akizungumzia kushambuliwa kwake bila kumnyoshea mtu kidole. Naona ametibuliwa.Lakini nadhani pia Kauli ya Lisu ni kama amekuwa provoked! Nadhani inabidi ujiandae sana ili umzingue yule mwamba.sababu ana majibu mabovu mnooo.unaweza ukapata kiharusi