USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,894
- 22,657
Wanaukumbi!
Lissu alikuwa wapi siku zote hadi aje sasa kusema hivi?
Kwa nini anamzushia Mh Rais mambo ya hovyo,uongo na uzandiki mkubwa namna hii?
Rais kikwete aliwahi kusema CHADEMA wanakiwanda cha uongo basi hii ndio product.
Lisu asiachwe aeneze uchochezi huu.
Mtakumbuka kuwa tangu Tundu Lissu ashambuliwe hapa Dodoma hakuwahi kusema nani alikuwa nyuma ya tukio lile zaidi ya kusema makonda alikuwepo Dodoma kitu ambacho kilionekana kama uzushi tu na alikaa miaka yote bila kusema nani alipiga au kusema kama serikali ilihusika au la.
Jana mkoani lindi Lissu kaibuka na hii hoja inayoonekana kama kiki tu, Lissu ni mwanasheria hapa anajua hana ushahidi wa jambo hili analomtuhumu Rais, huku akijua baada ya kampeni atajibu hili mahakamani.
Naviomba vyombo vya uchuguzi vimuache amalize kampeni asipate kiki ila akimaliza wamtaiti mpaka aache kuropoka.
USSR
Lissu alikuwa wapi siku zote hadi aje sasa kusema hivi?
Kwa nini anamzushia Mh Rais mambo ya hovyo,uongo na uzandiki mkubwa namna hii?
Rais kikwete aliwahi kusema CHADEMA wanakiwanda cha uongo basi hii ndio product.
Lisu asiachwe aeneze uchochezi huu.
Mtakumbuka kuwa tangu Tundu Lissu ashambuliwe hapa Dodoma hakuwahi kusema nani alikuwa nyuma ya tukio lile zaidi ya kusema makonda alikuwepo Dodoma kitu ambacho kilionekana kama uzushi tu na alikaa miaka yote bila kusema nani alipiga au kusema kama serikali ilihusika au la.
Jana mkoani lindi Lissu kaibuka na hii hoja inayoonekana kama kiki tu, Lissu ni mwanasheria hapa anajua hana ushahidi wa jambo hili analomtuhumu Rais, huku akijua baada ya kampeni atajibu hili mahakamani.
Naviomba vyombo vya uchuguzi vimuache amalize kampeni asipate kiki ila akimaliza wamtaiti mpaka aache kuropoka.
USSR