My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
Stupid assMama kawavuruga hawa wapinzani
Sasa hivi wameanza kupingana wao wenyewe.
Stupid assMama kawavuruga hawa wapinzani
Sasa hivi wameanza kupingana wao wenyewe.
si hata chadema nao ni pro-samia isipokuwa mambo machache sana.Chahali wakati Rais Magufuli ameingia Madarakani ulikuwa mpiga debe wake mkubwa sana. Baadae ukaja tujulisha umma kiwa Kinana amekudhulumu mamilioni ya Shilingi baada ya kutokulipa kwa kumfanyia kampeni Magufuli 2015. Baadae ukaja geuka kuwa mkosoaji wake mkubwa.
Kwa sasa Ni mpiga debe mkubwa Rais Samia. Tujifunze kutokana na Historia?
Wote hao wako kwenye boti moja.Why hata ana reply hoja za kigogo?
Kigogo nae wa kujibiwa na watu serious?
wote siwapendi.ila kdgo lisu ana afadhali kuliko hiloKigogo anajichanganya, at one point anasema CHADEMA iondoe top brass yake iipeleke nje, baada ya wiki moja anamlaumu Lissu kwa nini yuko nje wakati huu badala ya kurudi nyumbani
Fact tupuLissu Amjibu Kigogo, Asema Ushauri CDM Waache Siasa Za Mtandaoni Ni 'Poisoned Advice,' Amwambia Ushauri CDM Ianzishe Jeshi Ni Wa Kijinga, Abainisha Kuwa Kigogo Hana Uzoefu Wa Kuendesha Chama Chochote
View attachment 1876547
- Vitu ambacho Kigogo hajasema:
Wewe jamaa itakuwa unavuta bangi, una hallucinations nyingi sana
Huyu bwege anajaribu kujisogeza sogeza kwa Samia.Hivi wewe Chahali una matatizo gani?
Achana na CHADEMA fanya maisha yako
Kigogo pale Chadema ni kama nani?Huu ndio uzuri wa CHADEMA hoja inajibiwa kwa hoja ingelikuwa CCM ungesikia anapingana na mwenyekiti yaani wanajibu hoja kwa marungu.
Askofu Gwajima anasema kamati imependekeza watu waaamue kuchanja au la na yeye anawashauri wachukue ushauri wa la.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wewe umeealewa alichojibu Lissu??Mama kawavuruga hawa wapinzani 🤣🤣
Sasa hivi wameanza kupingana wao wenyewe.
Inashangaza sana....jamaa hata utambulisho wake halisi haujulikani lakini amekuwa maarufu kweli kweli mpaka amepata 'attention' kubwa kutoka kwa wanasiasa, viongozi.
Sukuma gang hamtaisahau tarehe 17: marchMama kawavuruga hawa wapinzani 🤣🤣
Sasa hivi wameanza kupingana wao wenyewe.
Dogo unaotakigo2 cdm,lissu ,Mr hai...wamepishana wapi !!??,naona saivi hawaaminiani tena,wameanza kuunguzana wao kwa wao,kipindi Cha magu walikuwa pamoja na ku run deals pamoja, soon after mama ku take over wakawa half half hivi kwenye ku run deals ,inaonekana baada ya mama ku take over ,kila mmoja akawa na interest zake tofauti na target zao za mwanzo.mr hai kwa Sasa ni suspect wa ugaidi na ninavyoona hii kitu haitamuacha salama ,alichokosea Mr hai ni kukubali ku run deals pamoja na kina kigo2,kuwa overtake kina kigo2 ni issue Sana,so Mr hai u did a big mistake to sign deal na kigo2 clue.kwa Sasa kigo2 amedukuwa data kibao za Mr hai,anachofanya ni ku toa update kiaina aina Kama vile anatoa ushairi kwa cdm kumbe ndo ana release one point after another kwa Yale aliyoyadukuwa kutoka kwa Mr hai.
Kigogo alimshambulia mbowe eti amekula ruzuku moto ulimuwakiaKigogo is too emotional sometimes, though Chahali is an opportunist also.
Hata kama ushauri wa kigogo ni sahihi siyo wa kuweka publicKigogo huko huko Twitter tumemuambia tugawane majukumu, yeye aanzishe kikundi cha kijeshi aingie msituni, cdm waendelee na siasa hizi hizi za ushindani wa hoja. Lengo ni kuiondoa ccm, cdm wakifanikiwa wataunda serikali, yeye akifanikiwa pia tokea huko msituni aunde serikali, lengo ni ccm itoke madarakani. Tunaona kapotea baada ya kukosa support aliyoitaka maana anaoongozwa na mihemko.
huyu ana bifu na kigogoIt's well documented that you are possessed with deep-rooted hatred towards Chadema.
What's the catch here, ndugu?
Unajitahidi kuandika lakini wachangiaji wamekupuuzaKilog isiwe double agent. Ushauri wake huu utafanya ushahidi wa kesi ya John Walker/Faru John ni mwepesi mno.