Mkongo 1
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 302
- 352
Aliezikwa ndie hana jipya dunianiHana jipya.Zama zake zimepita tayar.
Aliezikwa ndie hana jipya dunianiHana jipya.Zama zake zimepita tayar.
Kama ufilimbwavyo hapo ulipo?Aendelee kufilimbwa huko aliko!
Washaanza kutotautiana mwisho wa siku watarushiana maneno wakishtuka 2025 hii hapa,ngoma ikiwekwa kati watakwambia wameibiwa kura.Malisa anasifia hotuba ,mzee wa MIGA na DJ wanapinga!!!
Majinga ,nyumbu,pumbafu kabisa
So??Lissu ametoa maoni yake kuhusu hotuba ya Mama Samia bungeni na kusema ni ile ile Kama aliyotoa Magufuli bungeni mwaka 2020
Lissu anazidi kuchemka, sijui nj Nani anamlisha matango pori. Mama Samia kaja na hotuba yake nzuri na yenye kueleweka na sio kweli eti ni ile ile Kama ya Magufuli.
Lissu anapaswa kufahamu kuwa mama Samia hachafuki hata afanyaje.
Mama Samia kishakubalika na watanzania wote, hivyo Lissu yeye abaki kupiga porojo hukohuko Belgium.
View attachment 1761762
Mkuu, kufilimbwa ndiyo kufanywaje tena? Kwangu ni msamiati ati!Aendelee kufilimbwa huko aliko!
Sasa huyu Lissu ataungwa mkono na nani maana naona wa Ufipa wote wapo na Mama! Hata G.J. Malisa na Yericko Nyerer wapo na Mama. Mi namshauri arudi tu afanye kazi yake ya Uwakili na siasa awaachie akina Lusinde na Musukuma!Huyu Tundu Lisu ni mtata sana!
Malisa G.J anavizia uteuzi kutoka kwa Mama!Malisa anasifia hotuba ,mzee wa MIGA na DJ wanapinga!!!
Majinga ,nyumbu,pumbafu kabisa
Ujuaji mwingine sasa unakuwa kama utaahira sasa! Yeye alitakaje? Mbona mama kuongea vizuri tu! Kwa kauli zake huwezi kumlinganisha na Magufuli, ukimsikiliza unasikia ubinadamu kabisa ndani ya huyu mama. Hebu wamwache afanye kazi bwana, eti Tundu Lissu naye anaweka masharti ya kuweka kurejesha nyumbani, kama hataki aache bwana!Lissu ametoa maoni yake kuhusu hotuba ya Mama Samia bungeni na kusema ni ile ile Kama aliyotoa Magufuli bungeni mwaka 2020
Lissu anazidi kuchemka, sijui nj Nani anamlisha matango pori. Mama Samia kaja na hotuba yake nzuri na yenye kueleweka na sio kweli eti ni ile ile Kama ya Magufuli.
Lissu anapaswa kufahamu kuwa mama Samia hachafuki hata afanyaje.
Mama Samia kishakubalika na watanzania wote, hivyo Lissu yeye abaki kupiga porojo hukohuko Belgium.
View attachment 1761762