Uchaguzi 2020 Lissu aonya juu ya mkakati wa nia ovu ya kumuengua baada ya watawala kupagawa kwa kimbunga chake mikoani, asema hilo halitofanikiwa

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,498
51,092
Akizungumza mbele ya umati wa wananchi huko Babati, Lissu amesema wamepata taarifa za vikao vya wakubwa na vibaraka wao wanaohofia kimbunga chake huko mikoani.

Lissu anasema mkakati huo wa kumuengua ulijenhwa juu ya hoja mbili.

1. Ya kwanza ni wao kutaka kupitia kichaka cha maadili, kwamba kwa kuwa alifutwa Ubunge na Ndugai kupitia hoja mfu za maadili basi asiruhusiwe kugombea urais. Lissu anasema hoja hiyo wameshaifuta kwa sababu sheria inataka mtu awe amefungwa ndo hilo takwa linakamilika.

2. Pili kuhusu nia yao ovu ya kumuengua kuhusu kuanza kampeni mapema Lissu kasema kuwa kisheria Mtu haanzi kampeni mapema mpaka awe tayari ameshapitishwa na tume huru ya uchaguzi kuwa mgombea na kisha tarehe ya kampeni iwe imetangazwa ndo unaweza kusema kuwa huyu kaanza kampeni mapema! Kama Tume haijapitisha wagombea basi kisheria hakuna cha suala la kuanza kampeni mapema.

Hoja kuntu za Lissu unaweza kuzisikiliza hapa chini:

 
Wajaribu, wathubutu, tutawafundisha adabu, watajuta!
Yeye ametuma maombi tume ya kugombea kiti cha urais, anaanzaje kuwaambia wananchi kwamba akiingia ikulu, huyu ni sawa na mwanafunzi kafanya mtihani wa kumaliza form six anapokuwa anasubiri matokeo, hawezi tena kuanza kuomba kujaza form za kujiunga chuo kikuu. Lazima asubiri matokeo na ajue kama ame pass au la. Lissu anapata wapi uthibitisho kama tume imempitisha?

Chadema siku zote tunawaambia mnaendeshwa na mihemko, hamuwezi kuchanga za kuambiwa na zenu. Halafu mtasema tume imewaonea wakati mmeyafanya weneywe tena mmeanza kutoa ahadi, maana yake mnanadi ilani kabla ya kipenga. Tupa kule wajinga hawa
 
Akizungumza mbele ya umati wa wananchi huko Babati, Lissu amesema wamepata taarifa za vikao vya wakubwa na vibaraka wao wanaohofia kimbunga chake huko mikoani.

Lissu anasema mkakati huo wa kumuengua ulijenhwa juu ya hoja mbili.

1. Ya kwanza ni wao kutaka kupitia kichaka cha maadili, kwamba kwa kuwa alifutwa Ubunge na Ndugai kupitia hoja mfu za maadili basi asiruhusiwe kugombea urais. Lissu anasema hoja hiyo wameshaifuta kwa sababu sheria inataka mtu awe amefungwa ndo hilo takwa linakamilika.

2. Pili kuhusu nia yao ovu ya kumuengua kuhusu kuanza kampeni mapema Lissu kasema kuwa kisheria Mtu haanzi kampeni mapema mpaka awe tayari ameshapitishwa na tume huru ya uchaguzi kuwa mgombea na kisha tarehe ya kampeni iwe imetangazwa ndo unaweza kusema kuwa huyu kaanza kampeni mapema! Kama Tume haijapitisha wagombea basi kisheria hakuna cha suala la kuanza kampeni mapema.

Hoja kuntu za Lissu unaweza kuzisikiliza hapa chini:


Huyu jamaa anashida kichwani maana alituambia Magu ameanza kutoa rushwa mapema leo anasemaje
 
Yeye ametuma maombi tume ya kugombea kiti cha urais, anaanzaje kuwaambia wananchi kwamba akiingia ikulu, huyu ni sawa na mwanafunzi kafanya mtihani wa kumaliza form six anapokuwa anasubiri matokeo, hawezi tena kuanza kuomba kujaza form za kujiunga chuo kikuu. Lazima asubiri matokeo na ajue kama ame pass au la. Lissu anapata wapi uthibitisho kama tume imempitisha?

Chadema siku zote tunawaambia mnaendeshwa na mihemko, hamuwezi kuchanga za kuambiwa na zenu. Halafu mtasema tume imewaonea wakati mmeyafanya weneywe tena mmeanza kutoa ahadi, maana yake mnanadi ilani kabla ya kipenga. Tupa kule wajinga hawa
Na iweje bodi ya mikopo ya elimu ya juu tanzania kuanza kupokea pesa za wahitaji kabla ya matokeo? au ufaulu ni lazima kwa wote? ila tofauti ni vigezo vinginevyo? kunako hasi , chanya haikosekani!!
 
Yeye ametuma maombi tume ya kugombea kiti cha urais, anaanzaje kuwaambia wananchi kwamba akiingia ikulu, huyu ni sawa na mwanafunzi kafanya mtihani wa kumaliza form six anapokuwa anasubiri matokeo, hawezi tena kuanza kuomba kujaza form za kujiunga chuo kikuu. Lazima asubiri matokeo na ajue kama ame pass au la. Lissu anapata wapi uthibitisho kama tume imempitisha?

Chadema siku zote tunawaambia mnaendeshwa na mihemko, hamuwezi kuchanga za kuambiwa na zenu. Halafu mtasema tume imewaonea wakati mmeyafanya weneywe tena mmeanza kutoa ahadi, maana yake mnanadi ilani kabla ya kipenga. Tupa kule wajinga hawa
Yule Mami alieongea White House Dodoma na kuahidi Mengi alifanya campaign ?!
 
Back
Top Bottom