jogoo_dume
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 2,204
- 1,939
CCM tayari ni DUDE kubwa. Unafiki upo ila ndio bahati mbaya ni dude na ndio washika mpini. Walishamaliza kitambo kazi ya kuimarisha chama mpaka kwenye mizizi sasa wewe unaongea lissu kuanzisha chama sasa na utegemee kitaimarika soo, hatua za awali za uanzishaji chama hazitako unafiki, unafiki hauepukiki ila huja wakati chama kimeimarika.sasa nikwambie chama chenye unafiki grade 1 ni CCM.... watu wako mule kwa maslahi ya ULAJI.... angalau CDM ina wafuasi kutoka mioyoni mwao na si kutaka kuteuliwa maana hakuna nafasi za kuteuliwa
Hata democrats na republicans kuna unafiki ila hivi vyama tayari ni MADUDE.