Hawa lazima watafukuzwa soonHaya ya Halima Mdee kama hawakufukuzwa basi nakushauri Tundu Lisu anzisha chama . Nina imani Kwa risasi 16 hutatusaliti.
Haya ya Halima Mdee kama hawakufukuzwa basi nakushauri Tundu Lisu anzisha chama . Nina imani Kwa risasi 16 hutatusaliti.
Lissu, Selasini na Komu ni mapacha watatu hakuna mpinzani pale!Haya ya Halima Mdee kama hawakufukuzwa basi nakushauri Tundu Lisu anzisha chama . Nina imani Kwa risasi 16 hutatusaliti.
Duh..Haya ya Halima Mdee kama hawakufukuzwa basi nakushauri Tundu Lisu anzisha chama . Nina imani Kwa risasi 16 hutatusaliti.
Watalindwa na Ndugai, mtafukuza upepo labdaHawa lazima watafukuzwa soon
Haya ya Halima Mdee kama hawakufukuzwa basi nakushauri Tundu Lisu anzisha chama . Nina imani Kwa risasi 16 hutatusaliti.
Naunga mkono hoja, CHADEMA imeniumiza moyo kuliko mapenzi.Haya ya Halima Mdee kama hawakufukuzwa basi nakushauri Tundu Lisu anzisha chama . Nina imani Kwa risasi 16 hutatusaliti.
Kwenye nia kuna njia! Mbona Zitto ameweza and is doing fine!Duh..
Kuwnzisha chama sio lelemama mkuu. Unaanzishaje chama uko kwa mabeberu? Hawezi anzisha chama labda aanzishe saccos
Umeona, yaani kama kuna siku nimeumia ni jana! Kumbe hawa malaya tusiwaamini sawa na malaya akina silinde!Mtu anauza ramani ya vita ili apate ruzuku.
Act ina safari ndefu sana, sasa hivi ni kama chauma. Chama ni wfuasi na itikadi na misimamo. Unafiki hauna nafasi, lissu mnafiki, zitto mnafiki, hivyo vyama vyao ni kujaza idadi ya vyama vya siasa ila havina impact. Anaweza anzisha chama ila sio lelemama! Kama ni wafuasi wa kwenye keyboard atawapata ila hao keyboard heros hawfiki laki tano kwenye chaguzi robo yao ndio hupiga kura.Kwenye nia kuna njia! Mbona Zitto ameweza and is doing fine!
Sasa nikwambie chama chenye unafiki grade 1 ni CCM.... watu wako mule kwa maslahi ya ULAJI.... angalau CDM ina wafuasi kutoka mioyoni mwao na si kutaka kuteuliwa maana hakuna nafasi za kuteuliwaChama ni wfuasi na itikadi na misimamo. Unafiki hauna nafasi, lissu mnafiki, zitto mnafiki, hivyo vyama vyao ni kujaza idadi ya vyama vya siasa ila havina impact
Naunga mkono hoja! Mbowe kama hakuwafukuza malaya hawa leo, basi ameipasua CDM yetu pendwaCDM CCM ya Mbowe na Mnyika na CDM Og ya Tundu Lissu tuachane na hawa wahuni wa kisiasa.
Kama ambavyo hakuna anayeipenda CCM, wanafuata ULAJI, mkitoka madarakani mtauona ukweliLisu, Selasini na Komu ni mapacha watatu hakuna mpinzani pale!