Mchimwachimego
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 358
- 271
Kwanza nikiri wazi kwamba mtaji wa siasa ni maneno matamu, lakini siasa ni adui mkubwa wa ufahamu na nirafiki wa shetani, mwanasiasa si wa kumwamini 100% kwa sababu siasa ndio chanzo mabaya yote duniani.
Tokea nimemfahamu mtu aitwaye Tundu Lissu nimejifunza kitu baada ya kufuatilia watu dizaini yake ambao wamesomea sheria ambao katika jamii tunawaita maneno mengi na wajuaji lakini si watendaji, nje ya maneno ni watu ambao hawawezi kutatua shida yoyote iliyo nje ya alichokisomea, kwa ufupi ni "TEGEMEZI"
Katika mtiririko huo ndio bwana Tundu Lisu anautumia kwenye kampeni zake kuwashawishi wa kifikra na wavivu wa kazi kwamba maisha ni rahisi sana na pesa au maendeleo ya mtu au nchi yanapatikana kirahisi, pia anatumia taaluma yake ya uwakili kuonesha kuwa yeye mtetezi wa wanachi dhidi ya sheria atakazozitumia kuongoza nchi na anajua wazi kuwa hakuna sheria isiyomuhusu mwananchi na ata hakuna nchi yoyote isiyo na sheria za kuendesha nchi.
Wanasheria ni waongeaji sana na wabishi sana na sababu mkubwa ni kwamba wamekariri sheria na matukio ni ngumu kumuingizia jambo jipya la ubunifu wa mawazo katika akili zake yeye umelitoa umelitoa wapi? Halifanywi hivi ngoja nikaangalie kwenye kitabu hivyo kupitia andiko hili nawashauri watanzania kamwe tusimwamini mtu aliyezoea kulishwa, asiyejua kutafuta kwa akili zake, anayetegemea kuongozwa na miongozo kutoka Belgium.
Tumchague mwanasayansi ambao ni waanzilishi wa vitu vyote hapa duniani vinavyokupa kiburi mjini, Gari, simu, kompyuta, madaraja, meli, ndege, viwanda nk: na siyo mwingine ni DR JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI+ mtekelezaji wa bwawa kubwa la kufua umeme, mjenzi wa barabara na madaraja 80% Tanzania nzima, mjenzi wa reli baada ya mjerumani, mjenzi wa hospitali, meli, bandari, viwanja vya ndege, ndege, stand za mabasi, elimu bure, mwanzilshi wa masoko ya madini, ujenzi wa mji wa serikali, ikulu mpya,Nk.
Huyu anatufaa kwa sababu anaimiza kazi na si kuwa mjuaji na muongeaji "NO PAIN NO GAIN"
Asanteni.
Tokea nimemfahamu mtu aitwaye Tundu Lissu nimejifunza kitu baada ya kufuatilia watu dizaini yake ambao wamesomea sheria ambao katika jamii tunawaita maneno mengi na wajuaji lakini si watendaji, nje ya maneno ni watu ambao hawawezi kutatua shida yoyote iliyo nje ya alichokisomea, kwa ufupi ni "TEGEMEZI"
Katika mtiririko huo ndio bwana Tundu Lisu anautumia kwenye kampeni zake kuwashawishi wa kifikra na wavivu wa kazi kwamba maisha ni rahisi sana na pesa au maendeleo ya mtu au nchi yanapatikana kirahisi, pia anatumia taaluma yake ya uwakili kuonesha kuwa yeye mtetezi wa wanachi dhidi ya sheria atakazozitumia kuongoza nchi na anajua wazi kuwa hakuna sheria isiyomuhusu mwananchi na ata hakuna nchi yoyote isiyo na sheria za kuendesha nchi.
Wanasheria ni waongeaji sana na wabishi sana na sababu mkubwa ni kwamba wamekariri sheria na matukio ni ngumu kumuingizia jambo jipya la ubunifu wa mawazo katika akili zake yeye umelitoa umelitoa wapi? Halifanywi hivi ngoja nikaangalie kwenye kitabu hivyo kupitia andiko hili nawashauri watanzania kamwe tusimwamini mtu aliyezoea kulishwa, asiyejua kutafuta kwa akili zake, anayetegemea kuongozwa na miongozo kutoka Belgium.
Tumchague mwanasayansi ambao ni waanzilishi wa vitu vyote hapa duniani vinavyokupa kiburi mjini, Gari, simu, kompyuta, madaraja, meli, ndege, viwanda nk: na siyo mwingine ni DR JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI+ mtekelezaji wa bwawa kubwa la kufua umeme, mjenzi wa barabara na madaraja 80% Tanzania nzima, mjenzi wa reli baada ya mjerumani, mjenzi wa hospitali, meli, bandari, viwanja vya ndege, ndege, stand za mabasi, elimu bure, mwanzilshi wa masoko ya madini, ujenzi wa mji wa serikali, ikulu mpya,Nk.
Huyu anatufaa kwa sababu anaimiza kazi na si kuwa mjuaji na muongeaji "NO PAIN NO GAIN"
Asanteni.