Japhet Karibu
Member
- Feb 27, 2020
- 79
- 129
Nimefikiri na kujiuliza sana kwanini baadhi ya marafiki wa kizungu wanaonekana waziwazi kumtetea sana Lissu. Je, huyu Lissu amewaahidi kitu gani atakachowapa kutoka nchini kwetu ikiwa atachaguliwa na Watanzania katika uchaguzi wa mwaka huu kuwa Rais wa Tanzania, japo kiuhalisia Lissu kamwe hawezi na wala asiote kuwa atakuja kuwa Rais wa Tanzania.