BILLY ISISWE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,667
- 1,051
Alisema wapi? Au ni maneno ya kiweni....Nyerere mwenyewe alishawahi ulizwa ni chama gani anapendezwa na sera zake, akasema CHADEMA. Hiyo speech serikali ya CCM wameificha mpaka kesho
Alisema wapi? Au ni maneno ya kiweni....Nyerere mwenyewe alishawahi ulizwa ni chama gani anapendezwa na sera zake, akasema CHADEMA. Hiyo speech serikali ya CCM wameificha mpaka kesho
Ccm wanaogopa hadi bendera tuu za chadema wanahangaika kuzishusha utafikiri bendera zile ndio watu. Chadema ipo mioyoni kwa watu haifi leo wala kesho. Kubalini tuu kuishi na chadema kama mlivyo kubali kuishi na Ukimwi siku zote.Nyerere mwenyewe alishawahi ulizwa ni chama gani anapendezwa na sera zake, akasema CHADEMA. Hiyo speech serikali ya CCM wameificha mpaka kesho
CCM ni kikundi Cha hooligans!Ccm wanaogopa hadi bendera tuu za chadema wanahangaika kuzishusha utafikiri bendera zile ndio watu. Chadema ipo mioyoni kwa watu haifi leo wala kesho. Kubalini tuu kuishi na chadema kama mlivyo kubali kuishi na Ukimwi siku zote.
KIbaraka wa nani?Sitaki hata kukusukia kwa jinsi nisivyokupend lissu. Wewe ni kibaraka mkubwa usiyokua na chembe ya aibu.