Uchaguzi 2020 Lissu akwepa kwenda Zanzibar, hao wadhamini kawapataje?

Kazunguka nchi nzima bila kukanyaga barabara ya vumbi lami mwanzo mwisho
Acha ushamba kijana, ni haki ya serikali yoyote kujenga miundombinu ya nchi yake hata angekuwa Mzee Spunda lazima angejenga !.
 
Labda atakapomaliza kipindi chake (miaka 10) utayaona matunda yake, atakaepokea kijiti 2025 awe na uzalendo wa JPM ili mambo yaende ama vipi tuweke kiraka kwenye katiba
 
Mi nipo zenji huku tulimuona mwinyi, maalim seif pamoja na Membe tu, hao wengine hawajafika kabisa huku sio Tundu pekee.
 
Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?..
kuwepo kwa lami Ni Kodi zetu ikiwemo na Kodi ya Lissu pia.But kuhusu nzazibar huo ni utaratibu wa chama kuona ni namna gani watawapata wadhamini njia zipo nyingi.
 
Hata huko songea hakufika ila alipata wadhamini zaidi ya 600
 
Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?

Huko mbona hakwenda kuziba barabara na matarumbeta? Kwa ratiba yake leo alipaswa kuwa Pwani na Kesho Zanzibar kahepa sio?

Kesho tukimwona barabarani atakuwa nafanya maandamano haramu sio, kwani wadhamini keshapata. Eti kasema kazunguka mikoa yote kasoro sita.

Nimuulize ameonaje miundombinu? Kazunguka nchi nzima bila kukanyaga barabara ya vumbi lami mwanzo mwisho namwomba aseme "hongera JPM kwa kazi nzuri".


HIVI KWANINI LISSU ANAWANYIMA USINGIZI, SI MNAUAMINISHA UMMA KWAMBA CCM INAPENDWA MBONA KILA SIKU LISSU HAWATOKI MIDOMONI MWENU? UKITAKA KUUONA UCHI WA KUKU SUBIRINI UPEPO UJE NDO MTAJUWA KAMA NGUVU YA UMMA IKOJE KAMA OCTOBA 25 2015 TULIFUNGA MASOKO NA HUDUMA NYINGINE ZA KIJAMII NA KIUCHUMI BASI AWAMU HII ITAKUWA MARA 1000.
 
Patrobasi katambi yule mme wako?? Mda wote unawawaza wanaume, na utazalishwa sasa hawamu hii.
Aende Zanzibar ili awafungue macho wikina Amsterdarm na mabeberu wengine kuwa hakubaliki? Jamaa ni mjanjanja flani hivi. Tafuta clip ya Patrobas Katambi ndio utalielewa vizuri hili tapeli la kisiasa..
 
Back
Top Bottom