mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,193
- 6,381
Kapita barabara zilizojengwa na Mkapa na JKLeo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?...
Kapita barabara zilizojengwa na Mkapa na JKLeo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?...
hawa walioshindwa kujenga ofisi za chama lami ndio wataweza? kazunguka na Benz nchi nzima na haukupata pancha,
Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?...
Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?...
Si ndie namwona mitandaoni akipiga porojo, alisema habari zake tutazipata kwa wasapu Nasir tunamuuliza kwa wasapuMbona unaumia sana na lisu kwani mbona humtaji jiwe yy hakwenda lipumba Hashim mzee wa ubwabwa cck UDP wote hawakwenda unadili na lisu kama aliyekuzalisha njee ikawa hakuketeei huduma ya mtoto kila wakati una mtaja taja
Nahuku alifika?
Maccm hayana akili kabisaMkuu hangaika na yako ya Rais Lissu waachie CHADEMA
Utakonda siku si zako!!
We ni mama?N
Namzidi mamako umri
Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?
Huko mbona hakwenda kuziba barabara na matarumbeta? Kwa ratiba yake leo alipaswa kuwa Pwani na Kesho Zanzibar kahepa sio?
Kesho tukimwona barabarani atakuwa nafanya maandamano haramu sio, kwani wadhamini keshapata. Eti kasema kazunguka mikoa yote kasoro sita.
Nimuulize ameonaje miundombinu? Kazunguka nchi nzima bila kukanyaga barabara ya vumbi lami mwanzo mwisho namwomba aseme "hongera JPM kwa kazi nzuri".
Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?
Huko mbona hakwenda kuziba barabara na matarumbeta? Kwa ratiba yake leo alipaswa kuwa Pwani na Kesho Zanzibar kahepa sio?
Kesho tukimwona barabarani atakuwa nafanya maandamano haramu sio, kwani wadhamini keshapata. Eti kasema kazunguka mikoa yote kasoro sita.
Nimuulize ameonaje miundombinu? Kazunguka nchi nzima bila kukanyaga barabara ya vumbi lami mwanzo mwisho namwomba aseme "hongera JPM kwa kazi nzuri".
Ngoja nivue nioneWe ni mama?
hawa walioshindwa kujenga ofisi za chama lami ndio wataweza? kazunguka na Benz nchi nzima na haukupata pancha,
Mumechoma Lisu asije omba madaftari ya michangoHizo mnazochoma ni nini? Au unataka zijengwe nyingi mpate mgao zaidi wa kuzichoma?
Mumechoma Lisu asije omba madaftari ya michango
Ndio zenye wapigajiHizo ofisi 2 tu ndio zilikuwa na michango?
Kuwa mwenda wazimu siyo lazima uokote makopo. Barabara zote za lami zimejengwa miaka mitano tu!!!Leo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?...
Huna hoja, umemeona magu akizunguka? Kwa taarifa yako wadhamini walishapatikana mspema tu, alikokuwa anapita ni kuleta amsha amsha tuLeo nimemwona Lissu akitoka kwa jaji kusainisha makabrasha ya uteuzi, na kasema ameshakamilisha, sasaa hao wadhamini wa Zanzibar kawapataje na lini?...
Au Chato?Umemuona Magufuli akienda Zanzibar kutafuta wadhamini?