minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Siyo lazima kumtaja aliyetaka kumuua akiwa nje ni vyema amtaje akiwa Tanzania ingawa waliotekeleza tukio lote wanajulikana vizuri, kero zote ambazo CCM wameshindwa kuzitatua ikiwemo uhuru wa habari Elimu bure hadi chuo kukuu, kujenga viwanda kila kata, vyuo vikuu kila wilaya, Hosptal za rufaa kubwa zenye madaktari Bingwa kila mkoa, daraja toka Dsm mpaka Zanzibar na pemba na mengineyo mengi yatafanyika endapo CCM itakubali kukaa pembeni baada ya kuacha uchakachuajiKabisa, mpaka sasa wananchi hawajui Lisu atawafanyia nini. Stori telling kuhitaji huruma hazitasaidia. Angeanza kupambania changamoto zinazowakumba wananchi.mfano kufungua kesi kupinga kufutwa fao la kujitoa....
Hata hivyo, kama alishindwa kumtaja aliyetaka kumuua akiwa nje ya nchi ataweza akiwa nchini. Acheni kumdanganya Lisu. Deal na issues, zungumzia kero, changamoto, na ufumbuzi wake....be presidential material....