- Thread starter
- #61
Lissu ni wakili atueleze ni sheria namba ngapi na kifungu kipi kilichokiukwa, haya mambo ya kutuambia kienyeji hatutaki, najua tangu awe wakili hajawahi shinda kesi hatamoja hivyo sidhani kama anajua kutafsiri sheria sawasawa.Umemsikiliza hadi mwisho maana amenadi sera barabara sasa ulitaka asiseme kuwa Mwanyika hana sifa ya kuwa mbunge kwa mujibu wa sheria za Tanzania wakati ni kweli na kwanini amepitishwa kinyume na sheria ya uchaguzi.