Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
Vipi mbona umeghafilika ?Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Vipi mbona umeghafilika ?Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Usafiri pekee usiotumika kwenye kampeni za magu ni ndege.Ule msafara wa Magu unaweza kuwa gharama kuliko Chopa ya Lissu so mshauri kwanza Babu yenu.
Kwa chopa ni chini ya dk 10 huoni hizo 30minutes zilizookolewaMatumizi Mabaya ya pesa. KUTOKA DAR HADI KIBAHA KWA GARI NI MWENDO WA DAKIKA 40 MTU ANATUMIA HELKOPTA USHAMBA
Kibaha au bagamoyo Kama kibaha are LOLIONDO TUMCHOMEE MBUZI MOJA KUBWAWaoh karibu nyumbani Rais mtarajiwa
Usafiri pekee usiotumika kwenye kampeni za magu ni ndege.
Baiskel zipo
Bodaboda zipo
Helicopter zipo
Magari mengi tu
Mabasi ya wasanii
Malori ya kubeba wajaza vichwa
Thank but no thank youNa ndege pia inatumika ukitaka ushahidi nitakuwekea
AminaLissu ndo Raisi mtarajiwa wa Tanzania ambaye anabeba maono ya kuivusha Tanzania
Na ndiyo wanaomfuatilia na kwenda kwenye mikutano yake tena bila kuhamasishwa na vyombo vya habari, wasanii na bila kusombwa na malori.Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Basi mwambie JPM akae aendelee na kazi zake, maana kwa vyovyote vile Lissu hawezi kushinda.Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Tuondolee uchuro hapa, Ushindwe na waliokutuma.R.i.P Deo Filikunjombe...
Nipige ban kama unaona kuandika ninacho kiwaza ni uchuro..Tuondolee uchuro hapa, Ushindwe na waliokutuma.
Hata nyie mnataman kufanya, Kama mlivyofanya 2015 kwa Lowassa. Sema ndo hivyo, Hamna hela😂😂CCM mbona mnanadi mgombea wenu kwa gharama kubwa sana? Kila nguzo ya umeme mijini ina bango lake wakati miaka yote mitano alikuwa akifanyia kazi zake kwenye runinga.
Bagamoyo,Kibaha ChalinzeMatumizi Mabaya ya pesa. KUTOKA DAR HADI KIBAHA KWA GARI NI MWENDO WA DAKIKA 40 MTU ANATUMIA HELKOPTA USHAMBA
Mngekuwa na nia ya dhati ya kuwasaidia Watanzania ingewasaidia sana, hivi mlipoingia madarakani sukari ilikua bei gani na sasa hivi ni bei gani?CCM wapo serious, ukitaka jambo lazima uonyeshe uhitaji kwa akili na nguvu zote. Mtu ambae anaenda nusu nusu, huyo hana nia ya dhati na jambo analolihitaji.
Mkuu nyuzi zipo humu humu zitafute ufungue code.Kwa Deo walimuua maccm wenzake ?
Sasa HIVI watu wana pesa kuliko zamani ulitaka bei zibaki hivyo hivyo?Mngekuwa na nia ya dhati ya kuwasaidia Watanzania ingewasaidia sana, hivi mlipoingia madarakani sukari ilikua bei gani na sasa hivi ni bei gani?
Habari njema kwa raisi mtaraniwaTundu Antipas Lissu, Mgombea Urais kupitia CHADEMA anayeaminiwa na wengi kushinda Urais mwaka huu leo anaanza rasmi kuruka angani kwa kutumia Chopa maalum.
Baada ya mapumziko ya siku 2 mgombea huyo leo anatarajiwa kuingia mkoani Pwani kwa kishindo ambapo atafanya mikutano mikubwa ya kampeni katika miji ya Kibaha, Chalinze na Bagamoyo
Mara baada ya awamu ya kwanza kuzindua kampeni kwenye kanda zote 10 kwa Sasa lengo kubwa ni kufanya mikutano mingi ya kukutana na wananchi kwa kila mkoa na kila Jimbo la uchaguzi.