Lishe kwa mtoto - Unampikia nini mtoto wako (miezi 6-12)

Watoto kukataa kula jamani kuna mtoto wa cousin yangu ana miezi 8 yeye hapendi kula nikagundua mama ake anampa chakula cha nyanya na maungo chakula hicho kina mkinai

Nimemwanzishia chakula chake tatizo ulitaka ale mpigie mluzi akicheka unamwekea kijiko

Uji wa karanga

Chambua karanga zako safisha
Zisage ziwe laini kabisa

Jinsi ya kutayarisha uji

Korogo unga wa karanga kwenye maji tia jikoni koroga mpaka ushike(uwe mzito) acha uchemke uive mpaka uone kama unaganda.

Utakuwa tayari kwa kunywa tia sukari kidogo ni uji mzuri kwa mtoto
.......NDIZI NA SIAGI....
MAHITAJI
NDIZI BUKOBA AU BUTOKE 1
SIAGI TSP 1/4
MAZIWA FRESH 1/4 CUP
JINSI YA KUANDAA
CHUKUA NDIZI IOSHE TU KWA NJEE KISHA ICHEMSHE NA MAGANDA YAKE MPAKA IIVE
ITOE IMENYE ISAGE PAMOJA NA MAZIWA NA SIAGI NA URUDISHE JIKONI KWA MOTO MDOGO KWA DK 3
EPUA MLISHE MTOTO
 
Usimlazimishe mtoto kula kitu asichokipenda kikawaida wazazi walezi hupenda sana kumlisha mtoto chakula kile kilichoandaliwa visical kwa watu wazima hii sio sawa kabisa kwa mtoto wala hatuwatendei haki na pia tunakuwa tunawapa vitu vingine mwili wake bado haujafikia kuhimili mtoto wako akianza kupata maradhi unaanza kusema nni shi shida umeinza wwe mwenyewe
nitatoa mchango wangu kwa chakula gani umpatia mototo wa kuanzia miez 6 hadi 12 na kuanzia 12 hadi mwaka 1
ni vzir sana kubadisha menu ya mtoto kila wakati hii itampa hamu ya kula kwasababu menu kuwa tofauti pia mtoto ukipatia chakula ulichoandaa ukiona hakipendi usimfosi jaribu kumchungua ni chakula gani anachopenda ssa ndani ya hicho chakula anachopelea unamchanganyia virutubisho vitakavyompa nguvu zaid

tuone baadhi tu ya vyakula unavyotakiwa kuviandaa kwajili ya motoo pekee 6-12

NDIZI NA SIAGI
MAHITJI:-
NDIZI BUKOBA 1
MAZIWA FRESHI YALIYOCHEMSHWA 1 CUP
SIAGI AU BUTTER 1tsp
Matayarisho:-
osha ndiz ikiwa na magaga ichemshe ikiwa na maganda mapaka iive itoe na imenye usitoe nyuz za ndizi kisha changanya na maziwa na siagi saga ktk brenda na irudishe jikoni kwa moto mdogo kwa dk 3 ili siagi ikosee vzr
baada ya hapo mlishe mtoto safiii atafurahia


KIAZI KITAM NA MAZIWA

MHITAJI
Maziwa 1/4 cup
kiazi 1
jinsi ya kuandaa
osha kiazi usikimenye na kichemshe kiive na toa tia ktk maji ya baridi kwa dk 3 -4 na tia ktk brenda na maziwa saga
mlishe mtoto


ATTER DHIF PG SIAGI
Mahitji
unga wa atter isiyokobolewa ioshe vizr na uianike sehem nzur na changanya na mpunga ulioosha saga pamoja
3 tbsp
siagi 1tsp
maziwa 1/4 cu
asali 1 tbsp

jishi ya kuandaa

tia maziwa na unga koroga mpaka unatakapokuwa mzito hakikisha usiwe mzito sana kisha tia siagi na asali koroga na epua mlishe mtoto

uji huu unaweza kupa mtu mzima alie na upungufu wa kinga mwilili
nikisema upungufu wa kinga mwilini naanisha yule SD4 zimeshuka huongeza kinga mwlin dhi ya magonjwa nyemelezi

asanteni next tutaendelea ikiwa una maoni andika hapo like na coment shere na wengine waipate hii
je unataka tuendelee na hii? nasubir maoni yako
 
12479349_1505426153095126_1476624837_n.jpg
JINSI YA KUANDAA BANANA SHEK MILK

MHITAJI
NDIZI MBIVU 2
MAZIWA FRESH YALIYOCHEMSHWA NA KUPOA 2 CUP
ASALI KAMA UKIPENDA ILA MMI NIMETIA ASALI 2 TSP
JINSI YA KUANDAA
MENYA NDIZI NA TIA KTK BRENDA NA ONGEZA MAZIWA NA ASALI KISHA SAGA PAMOJA NA TAYARI KWA KUNYWA SAFIII KWA KUNYWA WA UMRI WOWOTEKUANZIA MIEZ 6 NA KUENDELEA
ASANTENI
Chef Prosper mush
 
Habari zenu

Leo nimeona ni vyema wana jikoni na wazazi tujadili na tubadilishane mawazo kuhusu lishe za watoto wetu kuanzia umri wa miezi 6 hadi mwaka.....

Nini madhumuni hasa

1)kwa wale watoto ambao hawapendi kula au hatujatambua bado nini wanapenda lakini kuna mzazi yeyote ameona chakula flani kime work kwake basi tu share nasi kujaribu kama kitapendwa pia....


2)tujuzane trick gani unatumia wakati wa kumlisha mtoto binafsi mimi huwa namfunga kwenye kiti chake alafu nampa kijiko au kipaja cha kuku sasa wakati anafungua mdomo kutafuna alichokikamata mie namuwahi kupitisha kijiko cha chakula hii inasaidia sana na tricks nyengine tutazidi kujuzana...


Karibuni wote tujadili au tupia recipe zako.


===============================


Lishe (1) - UJI WA OATS NA NDIZI/APPLE


Mahitaji

Oats kiasi

Apple 1 au ndizi ya kuwiva...

Maziwa...

Sukari (sio lazima)...

Namna ya kutaarisha

Chemsha maji

Weka oats acha zichemke hadi kuwiva

Ponda ponda ndizi vizuri weka maziwa kidogo ipondeke vizuri....

Mimina kwenye oats alafu weka na maziwa acha ichemke kidogo kwa dakika 3

Epua mlishe mtoto.....



Lishe (3) - WALI WA YAI

Mahitaji

Yai 1....tumia kiini tu

Siagi kidogo

Mchele....

Namna ya kutaarisha...

Pika wali kama wa kawaida ila weka maji mengi uwe laini bwabwa wengine wanaita bondo

Ukikaribia kuwiva weka yai ulolivunja koroga haraka haraka uchanganyike vizuri

Weka siagi na chumvi kidogo ukipenda....

Epua mlishe mtoto....


Lishe (3) - KAROTI NA KUKU


Mahitaji

Karoti

Kuku kiasi


Namna ya kutaarisha

Chemsha kuku hadi kuwiva iwe na supu kidogo

Weka karoti na subiria kuwiva...

Toa kuku pembeni alafu mchambue mifupa tupa

Weka katika blenda kuku na katoti na supu yako saga

Tayari kwa kumlisha mtoto

Ukipendeza waweza weka na viazi



Endelea kufuatilia mjadala kwa ushauri na lishe zaidi....
 
92bc582377cc80c89d77cb5371cd0d2b.jpg
na hzo safforn je? Pia nna shida nazo na hayo maduka ya waarabu au wahindi kwa dar soko la kisutu nitapata?maana kariakoo nimezunguka mpaka
Umefika kariakoooo umeshindwa KWENDA kisutu NANI akuendee NDUGU wajibika MTOTO shuhuliiii 10mins walking loj
 
Yo Pididiiiiii

Hsgsyuanshshwgagehsbebenscsgsbsjsha

Usheheuehehsjdjdjsjsgsgjefj
USA BYYYYYYYYYYYYYB

MPWAA UPOO HIVI VIMBUNGA VIMETUKOSAAAANAFURAHIKUKUSIKIAMPWAAAHUKUNGOMAINOGELAINGIZAINDOAINAENDELEAWATOTOWANAONGEZEKALISHEZINATAMANISHAWAZAZIWANAKUNYWAUJIWAWATOTONOWDAYSHUJUIMTOTONANIMZAZINANIIIIIANYWAYAAHSANTENPOSTBSURISANAAAASANAAA
WASALAAM
PDIDY.B
 
USA BYYYYYYYYYYYYYB

MPWAA UPOO HIVI VIMBUNGA VIMETUKOSAAAANAFURAHIKUKUSIKIAMPWAAAHUKUNGOMAINOGELAINGIZAINDOAINAENDELEAWATOTOWANAONGEZEKALISHEZINATAMANISHAWAZAZIWANAKUNYWAUJIWAWATOTONOWDAYSHUJUIMTOTONANIMZAZINANIIIIIANYWAYAAHSANTENPOSTBSURISANAAAASANAAA
WASALAAM
PDIDY.B
Hhehdtff
 
Habari zenu

Leo nimeona ni vyema wana jikoni na wazazi tujadili na tubadilishane mawazo kuhusu lishe za watoto wetu kuanzia umri wa miezi 6 hadi mwaka.....

Nini madhumuni hasa

1)kwa wale watoto ambao hawapendi kula au hatujatambua bado nini wanapenda lakini kuna mzazi yeyote ameona chakula flani kime work kwake basi tu share nasi kujaribu kama kitapendwa pia....


2)tujuzane trick gani unatumia wakati wa kumlisha mtoto binafsi mimi huwa namfunga kwenye kiti chake alafu nampa kijiko au kipaja cha kuku sasa wakati anafungua mdomo kutafuna alichokikamata mie namuwahi kupitisha kijiko cha chakula hii inasaidia sana na tricks nyengine tutazidi kujuzana...


Karibuni wote tujadili au tupia recipe zako.


===============================


Lishe (1) - UJI WA OATS NA NDIZI/APPLE


Mahitaji

Oats kiasi

Apple 1 au ndizi ya kuwiva...

Maziwa...

Sukari (sio lazima)...

Namna ya kutaarisha

Chemsha maji

Weka oats acha zichemke hadi kuwiva

Ponda ponda ndizi vizuri weka maziwa kidogo ipondeke vizuri....

Mimina kwenye oats alafu weka na maziwa acha ichemke kidogo kwa dakika 3

Epua mlishe mtoto.....



Lishe (3) - WALI WA YAI

Mahitaji

Yai 1....tumia kiini tu

Siagi kidogo

Mchele....

Namna ya kutaarisha...

Pika wali kama wa kawaida ila weka maji mengi uwe laini bwabwa wengine wanaita bondo

Ukikaribia kuwiva weka yai ulolivunja koroga haraka haraka uchanganyike vizuri

Weka siagi na chumvi kidogo ukipenda....

Epua mlishe mtoto....


Lishe (3) - KAROTI NA KUKU


Mahitaji

Karoti

Kuku kiasi


Namna ya kutaarisha

Chemsha kuku hadi kuwiva iwe na supu kidogo

Weka karoti na subiria kuwiva...

Toa kuku pembeni alafu mchambue mifupa tupa

Weka katika blenda kuku na katoti na supu yako saga

Tayari kwa kumlisha mtoto

Ukipendeza waweza weka na viazi



Endelea kufuatilia mjadala kwa ushauri na lishe zaidi....
Ni mi
Habari zenu

Leo nimeona ni vyema wana jikoni na wazazi tujadili na tubadilishane mawazo kuhusu lishe za watoto wetu kuanzia umri wa miezi 6 hadi mwaka.....

Nini madhumuni hasa

1)kwa wale watoto ambao hawapendi kula au hatujatambua bado nini wanapenda lakini kuna mzazi yeyote ameona chakula flani kime work kwake basi tu share nasi kujaribu kama kitapendwa pia....


2)tujuzane trick gani unatumia wakati wa kumlisha mtoto binafsi mimi huwa namfunga kwenye kiti chake alafu nampa kijiko au kipaja cha kuku sasa wakati anafungua mdomo kutafuna alichokikamata mie namuwahi kupitisha kijiko cha chakula hii inasaidia sana na tricks nyengine tutazidi kujuzana...


Karibuni wote tujadili au tupia recipe zako.


===============================


Lishe (1) - UJI WA OATS NA NDIZI/APPLE


Mahitaji

Oats kiasi

Apple 1 au ndizi ya kuwiva...

Maziwa...

Sukari (sio lazima)...

Namna ya kutaarisha

Chemsha maji

Weka oats acha zichemke hadi kuwiva

Ponda ponda ndizi vizuri weka maziwa kidogo ipondeke vizuri....

Mimina kwenye oats alafu weka na maziwa acha ichemke kidogo kwa dakika 3

Epua mlishe mtoto.....



Lishe (3) - WALI WA YAI

Mahitaji

Yai 1....tumia kiini tu

Siagi kidogo

Mchele....

Namna ya kutaarisha...

Pika wali kama wa kawaida ila weka maji mengi uwe laini bwabwa wengine wanaita bondo

Ukikaribia kuwiva weka yai ulolivunja koroga haraka haraka uchanganyike vizuri

Weka siagi na chumvi kidogo ukipenda....

Epua mlishe mtoto....


Lishe (3) - KAROTI NA KUKU


Mahitaji

Karoti

Kuku kiasi


Namna ya kutaarisha

Chemsha kuku hadi kuwiva iwe na supu kidogo

Weka karoti na subiria kuwiva...

Toa kuku pembeni alafu mchambue mifupa tupa

Weka katika blenda kuku na katoti na supu yako saga

Tayari kwa kumlisha mtoto

Ukipendeza waweza weka na viazi



Endelea kufuatilia mjadala kwa ushauri na lishe zaidi....
ni miaka sasa ... nmepitia hii thread leo naombeni kujiwa... nna mtoto mwaka sasa miez 14 hapendi kula. Ukimpa anajitapisha na anataka chakula kilocho blendiwa .. ukimpa ndizi hujaisaga anatema....viaz mpaka uvisage na chakula kisiwe kiziiiito sana kiwe size... sasa cjui ni wote wapo hvo au ni yy tu... na chakula gani kizur kwa umri wake
 
Ni mi

ni miaka sasa ... nmepitia hii thread leo naombeni kujiwa... nna mtoto mwaka sasa miez 14 hapendi kula. Ukimpa anajitapisha na anataka chakula kilocho blendiwa .. ukimpa ndizi hujaisaga anatema....viaz mpaka uvisage na chakula kisiwe kiziiiito sana kiwe size... sasa cjui ni wote wapo hvo au ni yy tu... na chakula gani kizur kwa umri wake
Ulimaanisha mwaka na mwezi minne .
Pole sana mkuu kuna baadhi ya watoto husumbua sana kwenye chakula jitahidi kumpa huyo mtoto vyakula anavyopenda mpaka afikishe miaka miwili.

Wanangu amesumbua mpaka alivyoanza chekechea ( miaka mi3)
Ndio alichangamka na sasa anaendelea vizur anakula kwa bidii kabisa...!!!!
 
Back
Top Bottom