William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Kaka tukitokea katika hoja yako naomba nikujibu kama ifuatavyo:
- Americans particularly politicians they are after their country interests (patriotism) but sikubaliani nawe kwa individuals americans ambao they will like to see maisha mazuri mahali. Mfano nakupa Bill Gates anamwaga kila siku mabilioni Tanzania katika project za malaria na ukimwi. Hivyo sikubaliani na mtazamo wako kuwa mzungu anapokosoa utawala wetu. Hiyo ni uzalendo wa hali ya juu pengine kutushinda sie ngozi nyeusi ambao uzalendo wetu wengi ni after pesa (wakenya wanasema Chapaa).
- Kuhusu mkwawa aliuwawa usitake kugusa machungu ya watu for sympathetic support mbona wakati wa mkoloni kulikuwa na matarishi weusi kama sie waliokuwa kazi yao kwenda kupeleka siri za waafrika kwa wazungu? Binafsi naona sawa mzungu kutukosoa kwasababu by the way wao ndio wanatupa pesa za kuishi hapa mjini (for your information 40% of our national budget comes from donors who happens to be wazungu). Hivyo wana haki kama sie kutukosoa wanapoona kodi zao zinaenda sipo.
Lete hoja nyengine kaka!!!
- Well unajua siwezi hata kujadili hoja za huyu Mzungu Mkoloni kwa sababu mambo ya taifa langu hayamhusu, ukimsaidia mtu msaada haina maana kwamba unamu-own, na hasa msaada wenyewe unapokuwa kama wa hawa wazungu yaani kuturudishia walichotuibia na wanachotuibia kila siku ya Mungu kwa sababu ya uwezo wetu mdogo wa kufikiri na kujiendeleza.
- Ndio maana ninasema utumwa upo wa aina nyingi sana!
William.