Wanatumia muda mwingi kujipodoa kuliko kujiosha.Mdada anapiga kipodozi , anajikarabati hadi anajiharibu, lakini bado anatoa harufu.
Ivi inakuaje??.
Halafu kuna mavipodozi wakipaka mm huwa natapikaga!si waoge tu wajipake Rays au Vaseline mbona watapendeza tu.