KIGWANYA
Member
- Apr 14, 2016
- 81
- 103
- Thread starter
- #281
Hii, ni kwa mujibu wa gazeti la Uhuru la leo tar 30 augost 2016. Hivi ni kweli kwamba professor anatarajia kuigawa CUF iwe na matawi tofauti yaani CUF bara na CUF zanzibar? Nini itakua hatma ya CUF chama ambacho wakati fulani kilikua chama kikuu cha upinzani! na nani hasa atakua mnufaika wa gawanyiko hili? CHADEMA au CCM?
Leteni maoni.
Leteni maoni.