Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
jamani nimesikia kuwa profesa ibrahim lipumba amechaguliwa kuwa ni profesa bola wa uchumi duniani amechaguliwa na umoja wa kimataifa huko marekani na kupewa jukumu la kusimamia uchumi wa dunia lakini nashangaaa hawa maprofesa wa uchumi toka vyuo vikuu hawamzungumzii wala kumsifia na hata vyombo vya habali hawatangazi habali zake yupo wapi dk.bana .....