Malunde-Malundi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 1,288
- 130
Kuna tetesi kuwa JK ameamua kufanya kweli, baada ya Lipumba kumtambua sasa kumpa uwaziri mkuu au kuunda nae serikali ya umoja wa kitaifa kwa kuchagua akina Rashid mohamed kuwa mawaziri wa JK nk, ili kuendeleza ule muafaka wa Zanziba na huku kughiribu kuwa alikuwa bega jwa bega na wapinzani; naona kuna siri sirini; ngoja tuone nini kitatokea
Hii inathibitisha kuwa Chadema kuendelea kuwa chama cha upinzani kwa Tanzania nzima
Hii inathibitisha kuwa Chadema kuendelea kuwa chama cha upinzani kwa Tanzania nzima