ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Wewe hujui mziki wa wananchiSio rahisi kihivyo! Usalama wa Taifa hawezi kupigwa "kibwege" hivyo.Mtu alyeiva kimafunzo hawezi kupigwa kifala namna hiyo.Huyo atakuwa mmoja wa mgambo wa uraiani wanaojipa vyeo vya maafisa wa Usalama au wale jamaa wa Blue Brigade waliopata pata vimafunzo vya Kareti Na Konfu.