Masatu...Tumezoeshwa kukuona unatetea mafisadi. Kumbe analysis zako zinatisha.
Uzuri wa JF mtu akija na data feki, basi kuna wajuzi wa mambo watamuweka sawa.
Kitila always amekuwa ana balance mambo, mara nyingi amekuwa anasimamia Kweli.keep it up
..hawa wananchi wengi ni wa nchi gani? hii tanganyika au hiyo zanzibar?
..hivi msimamo wa viongozi wa ccm juu ya kushinda uchaguzi ushawahi kuyumba?
..ni jinsi ninavyoyaona mambo tu! si zaidi!
Kazi ipo.Iron subiri majibu!Mkuu ES niweke sawa..ktk baadhi ya post umeonesha kuwa upo US unaendesha Malori...hapa umesema ulishafanya Intern hao UN, hivi UN kuna intern ya Kuendesha Malori? au Ubaharia?...tuweke sawa
Chuma suala sio kutetea mafisadi bali ni kutetea haki na ukweli na hicho ndio ninachokiamini na kukisimamia call me CCM or mtetezi wa mafisadi lakini Im used to those accusations, wale open minded people wataona ukweli lakini mawazo mgando wataishia kusema CCM na mtetezi wa mafisadi
Masatu:
Kati posti yako unasema Lipumba anapenda kulialia kuwa anaonewa. Kuna posti imetoka kule ambayo inaonyesha kampuni zilizofanya ufisadi zilifunguliwa 2005 karibu na uchaguzi mkuu.
Je ni mtu gani anayeshindwa kuunganisha dots kuwa sehemu ya malipo ya uchaguzi zilitumika kwenye uchaguzi kuisaidia CCM?
Bin Maryam nadhani unanifananisha na somebody else ambae akisoma atajijua ni nani... sijawahi na wala sina mpango wa kusema eti Lipumba analialia kuwa anaonewa.
Chukua taabu kidogo ya kurudi nyuma (kwenye thread hii hii) utamjua nani aliesema Lipumba anapenda kulia lia kuwa anaonewa.
Goodluck in ur exercise...
Balali also is talented academic turned
very respected world wide, a man made significat changes to some countries .
Balali as a senior expert with permanent employement on IMF desk but sadly enough brought tragedy to tanzanians .
Mimi naomba niulize mbona msomi akitokea CCM haitwi kichwa .??? ila akitokea upinzani kwa kazi zile zile elimu ile ile shule ile ile anaitwa kichwa???
Mtanzania
mie binafsi nimekuelewa vizuri na nafikiri siku watanzania tutakapokua na mawazo kama yako maendeleo ya kweli yatapatikana.Wapinzani watupe sera na sio blah blah eti watatoa huduma huduma za afya bure,elimu bure.Sawa sie tunachotoka sera kwa njisi ipi mtapata hizo fedha za kuendesha hayo mambo.
Sio kukimbilia mikataba ya madini je madini yasipokuwapo ama yakiisha leo then ina maana wapinzani hawatakua na sera ama vipi??
wapinzani tunataka sera za kiuchumi na kama hamna jiungeni na CCM.
Kuubua ufisadi ni vyema lakini hii sio indicator ya kua eti kwa vile ufisadi umeubua tukupe nchi .
Sera zenu zikowapi?? za CCM ndio marehemu kabisa ila ni za zimwi tulijualo.
Mie binafsi naona watu binafsi wana sera nzuri kuliko chama hivyo ningeonelea CCM wawape tu uhuru wagombea binafsi.
Mkamap:
Fuatia yaliotokea Poland. Wakati wanataka kuondoa u-kommunisti, kiongozi aliyeongoza alikuwa LECH WALESA. Elimu yake ilikuwa ni sawa na mtu aliyekwenda kuchukua ufundi umeme pale Chang'ombe (VETA). Alikuwa hana program yoyote zaidi ya kudai haki za watu kujiamulia mambo yao wenyewe. Watu waliosoma na wasiosoma na wenye kutaka mabadiliko walikuwa nyuma.
Mabadiliko yalipopatikana walimuachia madaraka kwa muda fulani na walipoona spidi zake ni ndogo katika mambo ya uchumi walimuondoa.
Watanzania hakuna sababu ya kuogopa mtu au chama kisicho na sera nzuri. Kinachotakiwa ni kuwaweka CCM benchi wapate shule.
,Mkuu FMES, wengine hatujafanya kazi UN lakini tunajua protocol zao. Wakikutaka watakupata hata kama serikali yako haitaki maana serikali haiwezi kugoma kutoa recommendation bila sababu
B]Niseme pia kwamba una haki ya kutokumpenda Lipumba as a politician, lakini sidhani kama una haki ya kujaribu kuharibu reputation yake ya kuwa an opposition leader kwa kutilia shaka spirit yake ya upinzani.[/B]
He is a talented academic turned politician. He is one of the top and respected world class economist. Sasa hilo kwamba aliharibu uchumi wakati wa Mwinyi mbona maelezo yapo, tena yametolewa siyo na yeye bali na wanauchumi duniani. Kuna kitabu kimeandikwa na mwanauchumi mzuri ukitaka naweza kukutumia. Kwa kifupi ni kwamba kila alichoshauri Lipumba wana CCM walikata kutekeleza, sasa ulitaka afanyeje? Kumbuka yeye hakuwa waziri wa fedha wala waziri wa uchumi, alikuwa mshauri wa uchumi wa Rais. Sasa kumbe kama alishauri na ushauri wake ukakataliwa ndio tuseme kwamba yeye hafai? Mpe nafasi ya kufanya maamuzi then akishindwa ndiyo tumlaumu.
B]Mimi nakumbuka Tambo Mbeki kipindi chote cha mapambano ya apartheid SA alikuwa nje ya nchi akikata shule na alirudi 1990, lakini ndiye aliyemrithi Mandela na wala sio akina Ramaphosa ambao siku zote walikaa mle ndani na kufungwa sana tu. I mean tusiwe narrow minded kwenye kuangalia haya mambo, ni mapana sana nasi inabidi tuwe wapana pia.[/B]PS:
Nimeweka CV ya prof Lipumba hapo chini ili angalau upate kumjua vizuri maana naona unafikiri ni kada tu kama makada wengine.
Mkamap:
Fuatia yaliotokea Poland. Wakati wanataka kuondoa u-kommunisti, kiongozi aliyeongoza alikuwa LECH WALESA. Elimu yake ilikuwa ni sawa na mtu aliyekwenda kuchukua ufundi umeme pale Chang'ombe (VETA). Alikuwa hana program yoyote zaidi ya kudai haki za watu kujiamulia mambo yao wenyewe. Watu waliosoma na wasiosoma na wenye kutaka mabadiliko walikuwa nyuma.
Mabadiliko yalipopatikana walimuachia madaraka kwa muda fulani na walipoona spidi zake ni ndogo katika mambo ya uchumi walimuondoa.
Watanzania hakuna sababu ya kuogopa mtu au chama kisicho na sera nzuri. Kinachotakiwa ni kuwaweka CCM benchi wapate shule.
Balali also is talented academic turned
very respected world wide, a man made significat changes to some countries .
Balali as a senior expert with permanent employement on IMF desk but sadly enough brought tragedy to tanzanians .
Mimi naomba niulize mbona msomi akitokea CCM haitwi kichwa .??? ila akitokea upinzani kwa kazi zile zile elimu ile ile shule ile ile anaitwa kichwa???
mbona haisemwi kwamba baada ya kutoka kumshauri mwinyi
lipumba alikuwa mshauri wa uchumi wa museveni na uchumi wa uganda ukapaa? sasa kwa nini uganda afanikiwe na bongo ashindwe?
nadhani tatizo limeelezwa hapo juu.
Eti uchumi wa Uganda ulipaaa? Lini hiyo mkuu mbona wa-Ganda wanatusumbua na wizi wa Ng'ombe zetu mpaka sasa tunataka kufunga mpaka?
Eti uchumi wa Uganda ulipaaa? Lini hiyo mkuu mbona wa-Ganda wanatusumbua na wizi wa Ng'ombe zetu mpaka sasa tunataka kufunga mpaka?