Ikhojo
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 527
- 448
Laana zingine huanzia kwenye majina hebu tutafute kirefu cha jina Limpumba kwanza mi nahisi wazazi wake walilifupisha tu.Akiongea na DW Swahili mwenyekiti wa CUF kitendo Cha Maalim selif Shariff Hamad kuamia ACT Wazalendo Ni kuwasaliti Wazanzibar na wantazania kwa Ujumla kwa sio suluhisho la matatizo yaliyopo.
=====
Prof. Lipumba: CUF bado iko imara, Maalim Seif hana jema
Nchini Tanzania gumzo kuu lingali likiangazia hali ya kisiasa kuanzia uamuzi wa mahakama kuu kumtambua Prof. Ibrahim Lipumba kama mwenyekiti wa chama cha CUF Prof Ibarahim Lipumba ambaye anasema bado wako imara.
Prof. Lipumba: CUF bado iko imara, Maalim Seif hana jema | DW | 20.03.2019
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app