Kila siku tumezoea kusoma na imekuwa kawaida kwako kutumia misemo kama "sisi", "Waislamu" n.k. Hivi nikuulize, una maana gani haswa na kauli zako kama hizi? Ni nani alikuteua au kukupa mamlaka ya kuzungumza on behalf ya hao "wengine" kupitia kauli zako kama unavyojifanya kwenye michango yako? Ni Mke, familia au labda basha lako?
Hayo maswali je ni lazima kuyajibu?