Nikweli kabisa mkuu nakumbuka alimuiba hata mama yakoHaifai kumuonea huruma mtu asie na huruma na watanzanha. Mwizi wa mali za walalahoi na wake za watu.
Tutaamini hii ni issue inafaa kupewa uzito kama tutawaona Sheikh mkuu wa Dar es salaam ama Mufti Simba wakienda kumtembelea, Vinginevyo ni porojo tu!
Tutaamini hii ni issue inafaa kupewa uzito kama tutawaona Sheikh mkuu wa Dar es salaam ama Mufti Simba wakienda kumtembelea, Vinginevyo ni porojo tu!
Kwa kichwa chako unachotumia kufikiri unaona Gwajima kalishwa sumu na police ndio alizimia au unaona alipigwa vilungu ndio akazimia.
sijakuelewa vizuri huyo mkubwa ana bush nini?maana hapa kuna ishu mbili,gwajima kutukana na pengo kusamehe!!
pona haraka mwanaharakati mkombozi asiteogopa kiongozi yeyote...
Je! kuna kiongozi yupi wa kidini au mtumishi wa Mungu aliyemtembelea Askofu Gwajima mpaka sasa hospitalini ? Msaada wakuu !
Mkuu ''TANZANIA NAKUPENDA'' ninaomba unijulishe ni kitu gani kilitokea kwa baba askofu mpaka afikishwe ICU. Mimi sikupata nafasi ya kujua kilichotokea au anaumwa kawaida?
Maaskofu wengi wamekwenda kumtembelea Askofu Gwajima, akiwamo Askofu Mkuu Zachary Kakobe aliyekwenda kumtembelea jana Jumapili saa 11 jioni. Wakati wa utengano wa Wakristo, umepitwa na wakati!
Team UDINI hawatafurahia hii habari!