georgemageke
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 325
- 46
Mbona watanzania hawamjui? mbona hawamchagui? anagombea urais toka mwaka 1995 mpaka leo hakijaeleweka?
Ww kweli msalani mawazo yako na jina vinafanana....
Mbona watanzania hawamjui? mbona hawamchagui? anagombea urais toka mwaka 1995 mpaka leo hakijaeleweka?
Nilisema hapa kuwa mchakato huu hautafika destination,baada ya Hotuba ya Ba'MkweIt,s painful 4 wat ccm ar doing now! Shame on zem. Wadau ze process has already consumed 90b/= taxpayers money so far, yet no optimism of getting ze conzt in tym.ccm ziolots in ze ar palarazing ze process. No wonder wadau if sita n his alies continue zis ze process will end up in breakin. Oposition n ze 201 members shall walk out n leav ccm alone,a move zat shal lead zem too 2 parcel n pave ze seats 4 ze bunge budget sessions. Stand firm 2 curse n zea partsansm
Nakushukuru sana profesa wa kweli ninaamini na hawa wafuatao wataiga mfano wako
dr. Lyatonga mrema
cheyo
dovutwa
makaidi
na vikaragosi wengine wote
Ww kweli msalani mawazo yako na jina vinafanana....
kwa kweli hata mimi amenifurahisha sana kama alivyonifurahisha kangi lugola kwa mchango wake.
Hamna katiba hapo bali ni genge la WAHUNI la CCM wamekutana Dodoma kutunga waraka kuhakikisha CCM haitoki madarakani!
Bunge makini linalofanya kazi kwa maslahi ya watu haliwezi mchagua Sendeka wala Chenge kuongoza kamati
View attachment 147128
Duh! unafiki mbaya sana Lipumba leo anajifanya kukataa uteuzi huku mambo mengi tu kakubaliana na CCM kama hili la kumpongeza JK Baada ya uchaguzi wa 2010
View attachment 147129
Hawa ni wale wafuasi wa CUF waliokamatwa na kuteswa kule Mtwara kilichosikitisha ni huyu huyu Lipumba baada ya tukio hili alikwenda Ikulu kupeleka malalamiko yake na yeye na viongozi wenzake walijinadi kuwa watafungua kesi juu ya walichofanyiwa hawa ndugu lakini hadi leo Kimya si Lipumba wala Mtatilo waliotia neno tena baada ya kutoka Ikulu.