Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kutoka Mahakama Kuu '
Jaji Ndyansobera amekataa maombi ya Lipumba na kundi lake kutaka kufuta kesi Namba 28/2017 kama ilivyoombwa na Lipumba ili wapate Ruzuku ya Chama inayofikia shilingi billion moja na million mia nne mpaka July, 2017. Shauri hilo kama tulivyokuwa tukiripoti kwa usahihi na kukemea upotoshaji wa baadhi ya vyombo vya habari khusuani muandishi Upendo Michael wa Azam TV. Ndilo linalohusu zuio la ruzuku ya chama kutolewa.
...
The court order must not be given by implications,............... Rejeeni kauli hii
Mbarala Maharagande
NMHUMU
Jaji Ndyansobera amekataa maombi ya Lipumba na kundi lake kutaka kufuta kesi Namba 28/2017 kama ilivyoombwa na Lipumba ili wapate Ruzuku ya Chama inayofikia shilingi billion moja na million mia nne mpaka July, 2017. Shauri hilo kama tulivyokuwa tukiripoti kwa usahihi na kukemea upotoshaji wa baadhi ya vyombo vya habari khusuani muandishi Upendo Michael wa Azam TV. Ndilo linalohusu zuio la ruzuku ya chama kutolewa.
...
The court order must not be given by implications,............... Rejeeni kauli hii
Mbarala Maharagande
NMHUMU