Mambo unayofanya lipumba embu inua kichwa na juu ujue mungu anakutazama! Hakika unafanya dhambi mbaya sana, Kujaribu kuua chama ambacho mamia ya watu wamekua vilema na kufa ktk kukijenga mpaka hapo kilipo fika. lkn ww kwa tamaa yako na marafiki zako mnataka jaribu kuua hicho chama. Hakika ukifanikiwa hazima yako hiyo utakua umefanya dhambi mbaya sana ktk maisha yako.