Lipumba adharau zuio la Mahakama, aitisha Mkutano Mkuu tarehe 14 Machi.

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,272
47,268
Lipumba ameitisha Mkutano Mkuu Maalum March 12 utakaoifanyia marekebisho ya Katiba ya CUF. Pia watafanya Mkutano Mkuu wa kawaida March 14 utakaofanya uchaguzi.

Ikumbukwe kuwa Feb. 28 Mahakama Kuu ilitoa zuio kwa CUF Lipumba kutofanya Mkutano Mkuu mpaka kesi za msingi zitakapoamuliwa. Hii si kudharau mahakama? na kwanini mahakama isimchukulie hatua za kisheria.
 
Nguvu ya Dola siyo mchezo. Tusubiri mchezo unavyoendelea. Utalindwa na jeshi la polisi ufanyike.
 
Lipumba ameitisha Mkutano Mkuu Maalum March 12 utakaoifanyia marekebisho ya Katiba ya CUF. Pia watafanya Mkutano Mkuu wa kawaida March 14 utakaofanya uchaguzi.

Ikumbukwe kuwa Feb. 28 Mahakama Kuu ilitoa zuio kwa CUF Lipumba kutofanya Mkutano Mkuu mpaka kesi za msingi zitakapoamuliwa. Hii si kudharau mahakama? na kwanini mahakama isimchukulie hatua za kisheria.
Amri kutoka juuu iko juu kuliko ya mahakama.
 
Kosa walilolifanya timu seif ni kudili na lipumba wamefungua kesi mahakamani kumzuia lipumba asiendelee na mkutano mkuu wa chama wala kuitisha uchaguzi mkuu mbaka kesi za msingi zitakapokwisha mahakamani

Wao wamemzuia lipumba kama lipumba lakini wameshindwa kuisoma katiba yao wenyewe ukimzuia lipumba asifanye chochote haujazuia chama kisifanye chochote ndio maana leo serikali ya tanzania ina kesi kibao ndani na nje ya nchi lakini hakuna kesi inayosema Tanzania isifanye chochote mbaka kesi zitakapo kwisha

Ukimzuia lipumba na sakaya pamoja na ngole wengine wapo wanafanya hakuna zuio la chama kisifanye mkutano mkuu bali kama ni zuio basi linamuhusu lipumba kama lipumba usicheze na sheria wewe na tafsiri zake ukijua ili wenzako wanajua lile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa walilolifanya timu seif ni kudili na lipumba wamefungua kesi mahakamani kumzuia lipumba asiendelee na mkutano mkuu wa chama wala kuitisha uchaguzi mkuu mbaka kesi za msingi zitakapokwisha mahakamani

Wao wamemzuia lipumba kama lipumba lakini wameshindwa kuisoma katiba yao wenyewe ukimzuia lipumba asifanye chochote haujazuia chama kisifanye chochote ndio maana leo serikali ya tanzania ina kesi kibao ndani na nje ya nchi lakini hakuna kesi inayosema Tanzania isifanye chochote mbaka kesi zitakapo kwisha

Ukimzuia lipumba na sakaya pamoja na ngole wengine wapo wanafanya hakuna zuio la chama kisifanye mkutano mkuu bali kama ni zuio basi linamuhusu lipumba kama lipumba usicheze na sheria wewe na tafsiri zake ukijua ili wenzako wanajua lile.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkutano mkuu hauitishwi na lipumba
 
Kosa walilolifanya timu seif ni kudili na lipumba wamefungua kesi mahakamani kumzuia lipumba asiendelee na mkutano mkuu wa chama wala kuitisha uchaguzi mkuu mbaka kesi za msingi zitakapokwisha mahakamani

Wao wamemzuia lipumba kama lipumba lakini wameshindwa kuisoma katiba yao wenyewe ukimzuia lipumba asifanye chochote haujazuia chama kisifanye chochote ndio maana leo serikali ya tanzania ina kesi kibao ndani na nje ya nchi lakini hakuna kesi inayosema Tanzania isifanye chochote mbaka kesi zitakapo kwisha

Ukimzuia lipumba na sakaya pamoja na ngole wengine wapo wanafanya hakuna zuio la chama kisifanye mkutano mkuu bali kama ni zuio basi linamuhusu lipumba kama lipumba usicheze na sheria wewe na tafsiri zake ukijua ili wenzako wanajua lile.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkutano mkuu hautishwi holela na mtu yeyote.
 
Mkutano Mkuu lazima uitishwe na MWENYEKITI, au yeyote anaiyekaimu nafasi hiyo.
 
Itakuwa kapata baraka za ule mhimili uliojichimbia zaidi. Ule hauna mipaka!
 
Jeshi la police kazi moja wapo ni kutelekeza amri za mahakama, kama jeshi la police lita muangalia lipumba tu na kufanya mikutano, hapo lazima mambosasa awajibike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lipumba ameitisha Mkutano Mkuu Maalum March 12 utakaoifanyia marekebisho ya Katiba ya CUF. Pia watafanya Mkutano Mkuu wa kawaida March 14 utakaofanya uchaguzi.

Ikumbukwe kuwa Feb. 28 Mahakama Kuu ilitoa zuio kwa CUF Lipumba kutofanya Mkutano Mkuu mpaka kesi za msingi zitakapoamuliwa. Hii si kudharau mahakama? na kwanini mahakama isimchukulie hatua za kisheria.

Ndiyo ujue hapo mchezo mzima wa kuivuruga cuf ulivyokuwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa walilolifanya timu seif ni kudili na lipumba wamefungua kesi mahakamani kumzuia lipumba asiendelee na mkutano mkuu wa chama wala kuitisha uchaguzi mkuu mbaka kesi za msingi zitakapokwisha mahakamani

Wao wamemzuia lipumba kama lipumba lakini wameshindwa kuisoma katiba yao wenyewe ukimzuia lipumba asifanye chochote haujazuia chama kisifanye chochote ndio maana leo serikali ya tanzania ina kesi kibao ndani na nje ya nchi lakini hakuna kesi inayosema Tanzania isifanye chochote mbaka kesi zitakapo kwisha

Ukimzuia lipumba na sakaya pamoja na ngole wengine wapo wanafanya hakuna zuio la chama kisifanye mkutano mkuu bali kama ni zuio basi linamuhusu lipumba kama lipumba usicheze na sheria wewe na tafsiri zake ukijua ili wenzako wanajua lile.

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la nyongeza mtaalamu ; Ni nani mwenye mamlaka kamili ya kuitisha mkutano mkuu? Naomba jibu tafadhali maana sheria sisi wa mafichoni tunazisikia kutoka kwenu.
 
Kosa walilolifanya timu seif ni kudili na lipumba wamefungua kesi mahakamani kumzuia lipumba asiendelee na mkutano mkuu wa chama wala kuitisha uchaguzi mkuu mbaka kesi za msingi zitakapokwisha mahakamani

Wao wamemzuia lipumba kama lipumba lakini wameshindwa kuisoma katiba yao wenyewe ukimzuia lipumba asifanye chochote haujazuia chama kisifanye chochote ndio maana leo serikali ya tanzania ina kesi kibao ndani na nje ya nchi lakini hakuna kesi inayosema Tanzania isifanye chochote mbaka kesi zitakapo kwisha

Ukimzuia lipumba na sakaya pamoja na ngole wengine wapo wanafanya hakuna zuio la chama kisifanye mkutano mkuu bali kama ni zuio basi linamuhusu lipumba kama lipumba usicheze na sheria wewe na tafsiri zake ukijua ili wenzako wanajua lile.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiharalishe nguruwe kuwa mbuzi.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom