Elections 2010 Lipumba aachwa kwenye mataa CUF

Jafar

JF-Expert Member
Nov 3, 2006
1,136
52
Habari zilizotufikia ni kwamba "dream team" a CUF iko bize kupanga nani ataingia kwenye baraza la mawaziri la serikali ya umoja wa kitaifa. Wakati maalimu Seif tayari ni Makamu wa Kwanza wa Rais, tayari Juma Duni, Ismail Jusso n.k. wamehakikishiwa kuingia kwenye baraza hilo la mawaziri.

Ndugu yetu mnyamwezi Prof. Ibra Lipumba ameeachwa kwenye mataa baada ya mgombea mwenza wake kukimb ilia zenji ambako kuna maslahi zaidi. Sasa hivi anashindwa kusema lolote maana ofisini yuko peke yake "top cream" yote iko zenji kugawana.

Pole Ibra kwa uvumilivu. Ili uondoe upweke nenda kumsalimia JK akitwishwa kura za kuchakachua leo jioni.
 
yeye alkuwa hajui kuwa hicho chama kilikuwa kwa maslahi ya wajenji tu,
 
Yeye atasimamia ruzuku ya CUF ambayo si haba, hivyo hawezi kuachwa kwenye mataa
 
mbona humpi pole slaa alieachia mbachao kwa msala upitao? alidanganywa kuwa yeye ni chaguo la mungu awe rais wetu hivyo aachie ubunge na urais angeupata bila tatizo kwani hata nyumba za ibada zitafungwa siku ya jumapili lakini cha kushangaza hata hao waumini wenyewe hawakujitokeza kupiga kura siku ya jumapiki!!


masikini slaa sasa hatima yake sasa itategemea uteuzi wa nafasi maalum kupitia kapu la chadema!!! pole daktari wetu wa cement 5000!!!!!!
 
Jamani mna maana 'mlima kilimanjaro'? sasa umekuwa tambarare. Kazi kweli kweli. Huku bara hakuna dili tena mpaka 2015.
 
Habari zilizotufikia ni kwamba "dream team" a CUF iko bize kupanga nani ataingia kwenye baraza la mawaziri la serikali ya umoja wa kitaifa. Wakati maalimu Seif tayari ni Makamu wa Kwanza wa Rais, tayari Juma Duni, Ismail Jusso n.k. wamehakikishiwa kuingia kwenye baraza hilo la mawaziri.

Ndugu yetu mnyamwezi Prof. Ibra Lipumba ameeachwa kwenye mataa baada ya mgombea mwenza wake kukimb ilia zenji ambako kuna maslahi zaidi. Sasa hivi anashindwa kusema lolote maana ofisini yuko peke yake "top cream" yote iko zenji kugawana.

Pole Ibra kwa uvumilivu. Ili uondoe upweke nenda kumsalimia JK akitwishwa kura za kuchakachua leo jioni.

Ana msubiri dr slaa amchague waziri mkuu
 
habari zilizotufikia ni kwamba "dream team" a cuf iko bize kupanga nani ataingia kwenye baraza la mawaziri la serikali ya umoja wa kitaifa. Wakati maalimu seif tayari ni makamu wa kwanza wa rais, tayari juma duni, ismail jusso n.k. Wamehakikishiwa kuingia kwenye baraza hilo la mawaziri.

Ndugu yetu mnyamwezi prof. Ibra lipumba ameeachwa kwenye mataa baada ya mgombea mwenza wake kukimb ilia zenji ambako kuna maslahi zaidi. Sasa hivi anashindwa kusema lolote maana ofisini yuko peke yake "top cream" yote iko zenji kugawana.

Pole ibra kwa uvumilivu. Ili uondoe upweke nenda kumsalimia jk akitwishwa kura za kuchakachua leo jioni.

kama inaruhusiwa kwa mgombea urais kupewa kiti maalum ni ngependa sana kumuona lipumba mjengoni akishusha vitu...cuf wangeliangalia hilo
 
mbona humpi pole slaa alieachia mbachao kwa msala upitao? alidanganywa kuwa yeye ni chaguo la mungu awe rais wetu hivyo aachie ubunge na urais angeupata bila tatizo kwani hata nyumba za ibada zitafungwa siku ya jumapili lakini cha kushangaza hata hao waumini wenyewe hawakujitokeza kupiga kura siku ya jumapiki!!


masikini slaa sasa hatima yake sasa itategemea uteuzi wa nafasi maalum kupitia kapu la chadema!!! pole daktari wetu wa cement 5000!!!!!!

Slaa ni pHD holder siyo kama JK wenu.
anajua anachokifanya, jk hawezi kufanya maamuzi mpaka kinana/makamba/rost tam aseme.
by the way ana mambo mengi ya kufanya,la kwanza kurudisha ushindi wake ulioporwa. u think its impossible!!!!!!!!!!

 
Yeye hakujua kuwa kwenye Uisilamu kuna Matabaka? Wao wa visiwani ni bora zaidi sisi wa bara
 
mbona humpi pole slaa alieachia mbachao kwa msala upitao? alidanganywa kuwa yeye ni chaguo la mungu awe rais wetu hivyo aachie ubunge na urais angeupata bila tatizo kwani hata nyumba za ibada zitafungwa siku ya jumapili lakini cha kushangaza hata hao waumini wenyewe hawakujitokeza kupiga kura siku ya jumapiki!!


masikini slaa sasa hatima yake sasa itategemea uteuzi wa nafasi maalum kupitia kapu la chadema!!! pole daktari wetu wa cement 5000!!!!!!
Wewe huna habari kuwa hata ukifanywa utafiti sasa hivi na taasisi huru kuwa ni kiongozi gani anaongoza kwa kuheshimiwa Tanzania kwa sasa kuwa jina la Slaa ndilo litatokea?
Slaa ndio Rais wa wananchi na JK ni Rais wa NEC.
 
mbona humpi pole slaa alieachia mbachao kwa msala upitao? alidanganywa kuwa yeye ni chaguo la mungu awe rais wetu hivyo aachie ubunge na urais angeupata bila tatizo kwani hata nyumba za ibada zitafungwa siku ya jumapili lakini cha kushangaza hata hao waumini wenyewe hawakujitokeza kupiga kura siku ya jumapiki!!


masikini slaa sasa hatima yake sasa itategemea uteuzi wa nafasi maalum kupitia kapu la chadema!!! pole daktari wetu wa cement 5000!!!!!!

Watu wenye mawazo kama yako wakiendelea kuongezeka nchini, ama kwa hakika nchi hii itaendeea kuwa maskini wa kutupwa.
watu mmejawa na chuki na husda za ajabu ajabu.
 
Slaa ni pHD holder siyo kama JK wenu.
anajua anachokifanya, jk hawezi kufanya maamuzi mpaka kinana/makamba/rost tam aseme.
by the way ana mambo mengi ya kufanya,la kwanza kurudisha ushindi wake ulioporwa. u think its impossible!!!!!!!!!!


hapo kwenye nyekundu hicho kisomo kilikuwa ni cha kuhudumia kanisa TU!! .. uraini bado kilaza! TU hana elimu dunia. hata form 6 leaver ni msomi kushinda yeye
 
mbona humpi pole slaa alieachia mbachao kwa msala upitao? alidanganywa kuwa yeye ni chaguo la mungu awe rais wetu hivyo aachie ubunge na urais angeupata bila tatizo kwani hata nyumba za ibada zitafungwa siku ya jumapili lakini cha kushangaza hata hao waumini wenyewe hawakujitokeza kupiga kura siku ya jumapiki!!


masikini slaa sasa hatima yake sasa itategemea uteuzi wa nafasi maalum kupitia kapu la chadema!!! pole daktari wetu wa cement 5000!!!!!!

Na wewe tutolee upupu wako hapa , aliyetangazwa kuwa ni chaguo la mungu ni huyom mgonjwa wenu wa kifafa, na huyo ndiye wa kupewa pole kwani wiki hii kaanguka na kuzirai kwa muda mrefu zaidi kuliko kawida yake. Dr yupo makini na anastahili kupongezwa kwa kukiinua chama chake kupata wabunge wengi tofauti na huyo KIFA ULONGO aliyekiporomosha chama chake cha mafisadi kukosa zaidi ya majimbo 50.Na kwa taarifa yako huyo JK alikuwa anaanguka mara 1 kwa mwezi, hivi sasa kila wiki lazima azimike. Damu ya wabongo aliowadhulumu haki ya kupata kiongozi bora itamdhuru sana.
 
Wacheni kuitafuta jehannamu kwa nguvu ,yaani mnasema uwongo hivi hivi, sasa mlitaka hawa watu wagandane kama haluwa ? Uchaguzi umekwisha ,tunajua Kikwete kawaacha mliokuwa mkimtarajia kwa masafa hata hamjui amepitia njia gani ?
 
jamani mlima kilimanajaro umepukutika gafla!!!


astagfillulah!
 
patamu hapo!!!

Hivi ukiwa na elimu kubwa ya DINI ya KIKIRISTO ndio unaambiwa una PHD, ina maana Dr Slaa ni sawa na Sheikh KUNDECHA, maana wote wanaeleimu sawa za dini , ila labda kwa vile ukiwa na elimu ya dini ya kikirsto unaitwa DR na ukiwa na elimu kubwa ya dini ya kiislamu utaitwa sheigh ama Ulamaaa.

 
mbona humpi pole slaa alieachia mbachao kwa msala upitao? alidanganywa kuwa yeye ni chaguo la mungu awe rais wetu hivyo aachie ubunge na urais angeupata bila tatizo kwani hata nyumba za ibada zitafungwa siku ya jumapili lakini cha kushangaza hata hao waumini wenyewe hawakujitokeza kupiga kura siku ya jumapiki!!


masikini slaa sasa hatima yake sasa itategemea uteuzi wa nafasi maalum kupitia kapu la chadema!!! pole daktari wetu wa cement 5000!!!!!!

Mmh jamani sasa mbona heshima inapungua kwa waliokuwa wagombea wetu wa urais? kama wewe ni mtz kama angeshinda angekuwa rais wako sasa si vizuri kuleta kejeli za namna hiyo.
 
Back
Top Bottom