Habari zilizotufikia ni kwamba "dream team" a CUF iko bize kupanga nani ataingia kwenye baraza la mawaziri la serikali ya umoja wa kitaifa. Wakati maalimu Seif tayari ni Makamu wa Kwanza wa Rais, tayari Juma Duni, Ismail Jusso n.k. wamehakikishiwa kuingia kwenye baraza hilo la mawaziri.
Ndugu yetu mnyamwezi Prof. Ibra Lipumba ameeachwa kwenye mataa baada ya mgombea mwenza wake kukimb ilia zenji ambako kuna maslahi zaidi. Sasa hivi anashindwa kusema lolote maana ofisini yuko peke yake "top cream" yote iko zenji kugawana.
Pole Ibra kwa uvumilivu. Ili uondoe upweke nenda kumsalimia JK akitwishwa kura za kuchakachua leo jioni.
Ndugu yetu mnyamwezi Prof. Ibra Lipumba ameeachwa kwenye mataa baada ya mgombea mwenza wake kukimb ilia zenji ambako kuna maslahi zaidi. Sasa hivi anashindwa kusema lolote maana ofisini yuko peke yake "top cream" yote iko zenji kugawana.
Pole Ibra kwa uvumilivu. Ili uondoe upweke nenda kumsalimia JK akitwishwa kura za kuchakachua leo jioni.