Kanyo Kanzoka
Member
- Nov 14, 2013
- 10
- 3
Siku hizi imekuwa kama mtindo kwa wadada walio wengi kabla ya kwenda kwa mtu wake lazima ajilembe. Kujilemba nipamoja nakujipaka lipstick.Inasemekana wanaume wengi wanapungukiwa nguvu za kiume kwasababu ya kupiga denda wanawake waliojipaka lipstick. Unapokula denda mwanamke aliyejipaka lipstick na kumeza yale mate,inasababisha nguvu za kiume zipunguwe. Wenye tabiya kama hiyo mnashauliwa umwambie mtu wako anawe mdomo kama amejipaka kabla ya kumnyonya ulimi. :tonguez::A S tongue: