super thinker
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 370
- 109
Nauliza, hivi lips kavu na zinazopasuka pasuka ni ugonjwa???
Na kama ndio, nn tiba yake??
Na kama ndio, nn tiba yake??
Aloe Lip balm can really and appreciatively help..
Tafuta dawa ya minyoo unywe,hiyo ni minyoo tu mkuu...
Mara ya mwisho umepata lini dawa ya minyoo?
Changamka,pata dose ya minyoo,utaona mabadiliko makubwa baada ya siku kadhaa!
Mimi sio doctor,lakini nlikuwa na tatizo hili,baada ya kuitumia ile dawa,tatizo hilo likaisha!
Jaribu bahati yako!
Nimeitumia hii itu mpaka duh, naona kama ndo inanizidishai sasa!!!
Aloe lip siyo nzuri, acheni kutumia. Weka Vaseline ya kawaida ni nzuri sana.
Mkuu nashkuru, na kweli nina muda sijanywa ile dawa asee........ngoja niwahi, thanks
Tafuta dawa ya minyoo unywe,hiyo ni minyoo tu mkuu...
Mara ya mwisho umepata lini dawa ya minyoo?
Changamka,pata dose ya minyoo,utaona mabadiliko makubwa baada ya siku kadhaa!
Mimi sio doctor,lakini nlikuwa na tatizo hili,baada ya kuitumia ile dawa,tatizo hilo likaisha!
Jaribu bahati yako!