Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Umeoa/umeolewa ushauri , mawazo au maelekezo yapi ni ya kuya fuata? unayopewa na mmeo/mkeo au wazazi? na kama mwenzi wako anafuata sana yale anayopewa na wazazi kulioko ya mmewe/mkewe je yupo sasa hihi? na kama hayupo sahihi wewe kama mme/mke ufanyeje?
Naomba mawazo yenu wana JF!!!!!!!!!
Naomba mawazo yenu wana JF!!!!!!!!!