Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
Hivi ni lipi lilikuwa lengo la wazungu kutushinikiza waafrika tuingie kwenye mfumo wa vyama vingi?
Ikumbukwe hapo kabla walitutawala kwa mabavu na kutufanya watumwa hadi tulipojikomboa kwa mbinde wakatushinikiza tuwe na mfumo wa vyama vingi.
Ikumbukwe hapo kabla walitutawala kwa mabavu na kutufanya watumwa hadi tulipojikomboa kwa mbinde wakatushinikiza tuwe na mfumo wa vyama vingi.