2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Habari wanajamvi?
Mimi niko powa kabisa, mimi ni mfanyabiashara na dukani kwangu nimeweka huduma za lipa kwa simu.
Huduma toka Tigo lipa kwa tigo pesa iko powa sana, baada ya malipo unapotaka kutoa pesa zako kwa sasa hakuna makato kwa mfanyabiashara. Kwa sababu ya changamoto iliyopo kwa wateja wa Vodacom nikamuua kwenda kutafuta ya Vodacom.
Nimepata ila ni upuuzi tu, wana makato makubwa kuliko hata kutoa kwa wakala. Yani kama una lipa kwa mpesa mfanyabiashara utapa hasara badala ya faida.
Hongereni sana Tigo kwa ubunifu.
Mimi niko powa kabisa, mimi ni mfanyabiashara na dukani kwangu nimeweka huduma za lipa kwa simu.
Huduma toka Tigo lipa kwa tigo pesa iko powa sana, baada ya malipo unapotaka kutoa pesa zako kwa sasa hakuna makato kwa mfanyabiashara. Kwa sababu ya changamoto iliyopo kwa wateja wa Vodacom nikamuua kwenda kutafuta ya Vodacom.
Nimepata ila ni upuuzi tu, wana makato makubwa kuliko hata kutoa kwa wakala. Yani kama una lipa kwa mpesa mfanyabiashara utapa hasara badala ya faida.
Hongereni sana Tigo kwa ubunifu.