Lionel Messi ni Mungu wa mpira ulimwenguni na Cristiano Ronaldo ni Lucifa wa mpira duniani

87cc65fb419083e00d9b0fcae7d2e232.jpg

Huyu mwingine yuko busy anabebwa huko Morocco
dah jamaa kama amedi... ukiicheck vizuri bukta
 
Akuheshimu nani fara tuu ww mwanaume unapenda kuchamba kama nn Sasa huo uwenyeji wako humu umekuingizia sh ngapi Yaan nkajua proud na nn kmb ufara tuu kushinda Mtandaoni with no benefit..Wacha nkupuuze siezi kaa kubishana na Machokko mtu anaejielewa hawezi Fanya utumbo kama wako Ili achambe wanaume wenxiee I got so many things to do So nimekupuuza mshindi ww Mwache mpumbavu awe mshindi mana naona Watu wote wamekupa ushindi na umefurahi nlipojitokeza ili kazi yako ya kuchamba iendelee

Huna Tusi lingine zaidi ya hilo la Choko? Halafu inaonekana ' unachokonolewa ' sana ' Kibaiolojia ' na ndiyo maana hata neno ' choko ' halikutoki ' Ubongoni ' mwako.
 
Eti nkunyooshee Kwa michambo au maana kwa kuchamba mashaalaa mtoto upo vizur

Wamenishindwa wenzako ' Manguli ' humu utaweza Wewe ' Popoma ' wa juzi tu? Sera yangu haijabadilika ambapo Wewe ukijamba Mimi nakunya kabisa! Umekuja Kihuni na ndiyo maana nami nakukabili Kihuni na Uhuni naujua vle vile ila ungekuja Kistaarabu ungefurahi nami kwani nina ustaarabu uliotukuka na huwezi amini.
 
Huna Tusi lingine zaidi ya hilo la Choko? Halafu inaonekana ' unachokonolewa ' sana ' Kibaiolojia ' na ndiyo maana hata neno ' choko ' halikutoki ' Ubongoni ' mwako.
Ntayajuaje matusi wakaty kuchamba sio kazi yangu na nakupa hilo la choko sababu machoko wana tabia kama hizo zako kwaio tunapoona watu wenye kariba kama yako haina haja ya kumiiza kichwa tunajua n wale wale Bara Alafu muuni hajiiiti muhuni acha kujipa sifa za kiume
 
Kumsifia Messi na Argentina yake bila kuona kazi kubwa iliyofanywa na peru bila kumsahau Brazil mkuu utakua unakosea sana japo sipingi ubora wa Messi katika karne hii ya mpira ....
Jikumbushe msimamo wa kundi lao kabla ya kumpa sifa zake na mwishowe ujiulize kazi ya Messi imesaidiwa na miguu ya mvaa jezi no 11 wao au roho mbaya kimtazamo ya wabrazil japo peru na colombia ndo wanastahili pongezi zangu ...
Ikumbukwe ikimtoa Brazil chile alikujimilikisha nafasi yake ya tatu na Messi akiwa wa 6 ,Peru wa tano na Colombia wa 4 ....
Wewe ndo buure kabisa.....kazi afanye mwingine na sifa apewe mwingine
 
Robo fainali na Hungary Ronaldo alifunga gol 3 peke yake na kuifanya Portigal kufuzu nusu fainali
Ila hili watu hawakuliona na kila mechi ya timu yake ya taifa Ronaldo anachangia kwa kiasi kikubwa sana
Kama Mess anajua sana kwa nini timu yake chupu chupu kutofuzu WC!?
Mbona na Ureno ilikua chupu chupu kokosa WC 2018 au unajitoa ufahamu
 
Ur hete wont take u anywhere. Messi mnamuona bora mpaka afunge Hattrick na kuisaidia nchi yake kuingia Kombe la Dunia.

Ronaldo na Messi kwa binafsi yangu namkubali sana Ronaldo lakini bado sina sababu ya kumchukia Messi.

Napenda mpira na wote ni wacheza mpira lakini Ronaldo amekamilika kwa kila uwanjani, bado Messi ana mengi sana ya kujifunza kupitia kwa Ronaldo.
Yakujifunza kubebwa huko morocco??
 
Ronaldo ana magoli mengi ya mipira ya adhabu kuliko mess, Ana magoli mengi ya vichwa kuliko Mess.
Ana uwezo wakutumia miguu yote miwili kwa ufasaha katika kufunga magoli wakati mess ni marachache kufunga kwa mguu wa kushoto.

Ronaldo Ana uwezo wa kufunga mbaka mita 35 kwa mashuti wakati mess mbaka asogelee 18, kumbuka mechi ya man United na Benfica. Ronaldo haitaji kuzungukwa na nyota wenye vipaji ili ang'are yeye anahitaji mpira tu ili aing'arishe timu yake.
Ronaldo alisha acha mpira wa kukimbianao na kupigachenga kule Man Utd wakati mess ndio anacheza sasa.

Mess ana vingi vya kujifunza kwa Ronaldo wakati Ronaldo hana cha kujifunza kwa mess.
Kwahiyo zile faulo anazofungaga Messi huwa zipo ndani ya 18......
 
Ukiona kitu chochote hadi ' Purely Talented and Charismatic Fella ' Mimi GENTAMYCINE nakipenda / nakikubali basi juu ya kwamba hata Malaika wa Mbinguni na Mwenyezi Mungu nae anakipenda na yupo pamoja nami.

Kitendo alichokifanya Lionel Messi usiku wa kuamkia leo na yale matendo ambayo amekuwa akiyafanya huko nyuma ni dhahiri kwamba Lionel Messi ni Mungu wa mpira hapa Ulimwenguni na yule ' mchezaji ' wa ' hovyo hovyo ' na anayebahatisha Christiano Ronaldo ni Lucifa / Shetani wa mpira hapa Duniani.

Ukiona GENTAMYCINE nakukubali jua ' umebarikiwa ' kweli na ukiona nakukataa / nakupuuza / nakudharau basi usipoteze muda kuhoji bali jua tu kwamba Wewe una matatizo pamoja na ' nuksi ' hivyo jipya.

Mpaka sasa sijaona Mtu mwenye ' Kipaji ' cha kipekee na aina yake kabisa kwa uchezaji Soka hapa Ulimwenguni kama Lionel Messi ' La Pulga ' na ifike wakati sasa wale wote ambao mlikuwa mnamchukia Messi sasa tafajarini upya na muungane na GENTAMYCINE katika kumpenda na kumkubali mwenye mpira wake Ulimwenguni Lionel Messi.

Kwa mtihani mgumu ambao Argentina imeupata jana leo natangaza rasmi na mapema kabisa kwamba katika Kombe la dunia la mwakani huko nchini Urusi iwe isiwe Timu ya Taifa ya Argentina ndiyo itatwaa / itachukua Ubingwa. Kama Argentina hii ya Lionel Messi haitochukuwa Ubingwa wa World Cup mwakani 2018 huko Urusi GENTAMYCINE naahidi hapa hapa kuwa nitaenda kupiga ' Selfie ' mubashara na wale ' Mamba ' wengi wanaopatikana katika Mto Ruaha kisha baadae ' wanitafune ' nipotee kabisa kama walivyopotea wengine.

I love Argentina
I love Lionel Messi
I hate Portugal
I hate Christiano Ronaldo

Nawasilisha.
Ngoja tusubir tunzo
 
Natangaza rasmi na mapema kabisa kwamba katika Kombe la dunia la mwakani huko nchini Urusi iwe isiwe Timu ya Taifa ya Argentina ndiyo itatwaa / itachukua Ubingwa.


Labda Wababe Wake Ambao ni GERMANY na BRAZIL wapigwe Ban na FIFA Wasishiriki World Cup 2018... Venginevyo Argentina Ataendelea Kuwa Msindikizaji...
 
Messi ajifunze kwa Ronaldo? hahaha ajifunze kitu gani labda kwa mfano?


Ajifunze Kuipa Timu Yake Ya Taifa Trophy Kama Alivyofanya Ronaldo Kuipa Ureno EURO...
Lakini Ameshacheza Fainali 4 nakuishia Kuwapa Walatini Kombe tu yeye Akila Kwa Macho...

Heshima Kwa URUGUAY na CHILE kwa Kumfunza Messi Nna Ya Kunyanyua Kwapa...
 
Ajifunze Kuipa Timu Yake Ya Taifa Trophy Kama Alivyofanya Ronaldo Kuipa Ureno EURO...
Lakini Ameshacheza Fainali 4 nakuishia Kuwapa Walatini Kombe tu yeye Akila Kwa Macho...

Heshima Kwa URUGUAY na CHILE kwa Kumfunza Messi Nna Ya Kunyanyua Kwapa...
Kulifikisha taifa fainali 4 tu inaonekana dhahiri jinsi gani uwezo wa Messi upo juu sana kinachokosekana ni bahati tu yakunyakuwa kombe.
Ronaldo kaifikisha Ureno fainali ngapi?
 
Kulifikisha taifa fainali 4 tu inaonekana dhahiri jinsi gani uwezo wa Messi upo juu sana kinachokosekana ni bahati tu yakunyakuwa kombe.
Ronaldo kaifikisha Ureno fainali ngapi?


Ronaldo Kaichukulisha Ureno (Trophy) EURO moja kwa Fainali moja....

FAINALI 4 BILA YA KOMBE KAZI BURE....
FAINALI MOJA TU YENYE KOMBE NI BORA KULIKO 100000 ZISIZO NA KOMBE....


Kumbuka Messi Kaifikisha Aregentina Fainali 4 za Coper America & World Cup
na Kusumbuliwa Na Watoto Wa Dogo Kina Chile na Uruguay, Tena Kibaya Zaidi Alisumbuliwa na Wale watoto Wa Brazil Waliotandikwa Goli 7 na Ujerumani...

Hivi Mkuu Ujerumani Kamroga Wapi Argentina Hata ikafika Pahala Kuwa Popote Anapomkuta Anamdonoa?

Mwaka 1990 Fainali World Cup
Ujerumani vs Argentina ... Ujerumani Kaibuka Kidedea.

Mwaka 2014 Finali World Cup Ujerumani vs Argentina... Ujerumani Kaibuka Kidedea...

2006 World Cup
Robo/Au 16 bora Ujerumani na Argentina... Ujrumani Kaibuka Kidedea..

Yaani Argentina na Messi Wake Kwa Ujerumani ni Nyanya tu..
Fainali Mbili Zote Anafungwa na Ujerumani anashindwa Kujikomboa?

MY TAKE:
RONALDO na MESSI wote Watastaafu SOKA bila Ya Kubeba World Cup Kwani 2018 ni Vita Vya Wababe WANNE tu...

1) UJERUMANI
2) BRAZIL
3) UFARANSA
4) UENGEREZA

Waliobakia Kina Spain, Italy na Argentina ni Wasindikizaji tu.
 
Back
Top Bottom