casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,358
- 2,144
dah jamaa kama amedi... ukiicheck vizuri bukta
Huyu mwingine yuko busy anabebwa huko Morocco
dah jamaa kama amedi... ukiicheck vizuri bukta
Huyu mwingine yuko busy anabebwa huko Morocco
Akuheshimu nani fara tuu ww mwanaume unapenda kuchamba kama nn Sasa huo uwenyeji wako humu umekuingizia sh ngapi Yaan nkajua proud na nn kmb ufara tuu kushinda Mtandaoni with no benefit..Wacha nkupuuze siezi kaa kubishana na Machokko mtu anaejielewa hawezi Fanya utumbo kama wako Ili achambe wanaume wenxiee I got so many things to do So nimekupuuza mshindi ww Mwache mpumbavu awe mshindi mana naona Watu wote wamekupa ushindi na umefurahi nlipojitokeza ili kazi yako ya kuchamba iendelee
Eti nkunyooshee Kwa michambo au maana kwa kuchamba mashaalaa mtoto upo vizur
Ntayajuaje matusi wakaty kuchamba sio kazi yangu na nakupa hilo la choko sababu machoko wana tabia kama hizo zako kwaio tunapoona watu wenye kariba kama yako haina haja ya kumiiza kichwa tunajua n wale wale Bara Alafu muuni hajiiiti muhuni acha kujipa sifa za kiumeHuna Tusi lingine zaidi ya hilo la Choko? Halafu inaonekana ' unachokonolewa ' sana ' Kibaiolojia ' na ndiyo maana hata neno ' choko ' halikutoki ' Ubongoni ' mwako.
Kwahiyo Ronaldo na Ureno washawahi shinda Olympic??Ronaldo has won each and everything that Mess won || But mess doesn't
Wewe ndo buure kabisa.....kazi afanye mwingine na sifa apewe mwingineKumsifia Messi na Argentina yake bila kuona kazi kubwa iliyofanywa na peru bila kumsahau Brazil mkuu utakua unakosea sana japo sipingi ubora wa Messi katika karne hii ya mpira ....
Jikumbushe msimamo wa kundi lao kabla ya kumpa sifa zake na mwishowe ujiulize kazi ya Messi imesaidiwa na miguu ya mvaa jezi no 11 wao au roho mbaya kimtazamo ya wabrazil japo peru na colombia ndo wanastahili pongezi zangu ...
Ikumbukwe ikimtoa Brazil chile alikujimilikisha nafasi yake ya tatu na Messi akiwa wa 6 ,Peru wa tano na Colombia wa 4 ....
Mbona na Ureno ilikua chupu chupu kokosa WC 2018 au unajitoa ufahamuRobo fainali na Hungary Ronaldo alifunga gol 3 peke yake na kuifanya Portigal kufuzu nusu fainali
Ila hili watu hawakuliona na kila mechi ya timu yake ya taifa Ronaldo anachangia kwa kiasi kikubwa sana
Kama Mess anajua sana kwa nini timu yake chupu chupu kutofuzu WC!?
Yakujifunza kubebwa huko morocco??Ur hete wont take u anywhere. Messi mnamuona bora mpaka afunge Hattrick na kuisaidia nchi yake kuingia Kombe la Dunia.
Ronaldo na Messi kwa binafsi yangu namkubali sana Ronaldo lakini bado sina sababu ya kumchukia Messi.
Napenda mpira na wote ni wacheza mpira lakini Ronaldo amekamilika kwa kila uwanjani, bado Messi ana mengi sana ya kujifunza kupitia kwa Ronaldo.
Kwahiyo zile faulo anazofungaga Messi huwa zipo ndani ya 18......Ronaldo ana magoli mengi ya mipira ya adhabu kuliko mess, Ana magoli mengi ya vichwa kuliko Mess.
Ana uwezo wakutumia miguu yote miwili kwa ufasaha katika kufunga magoli wakati mess ni marachache kufunga kwa mguu wa kushoto.
Ronaldo Ana uwezo wa kufunga mbaka mita 35 kwa mashuti wakati mess mbaka asogelee 18, kumbuka mechi ya man United na Benfica. Ronaldo haitaji kuzungukwa na nyota wenye vipaji ili ang'are yeye anahitaji mpira tu ili aing'arishe timu yake.
Ronaldo alisha acha mpira wa kukimbianao na kupigachenga kule Man Utd wakati mess ndio anacheza sasa.
Mess ana vingi vya kujifunza kwa Ronaldo wakati Ronaldo hana cha kujifunza kwa mess.
Ngoja tusubir tunzoUkiona kitu chochote hadi ' Purely Talented and Charismatic Fella ' Mimi GENTAMYCINE nakipenda / nakikubali basi juu ya kwamba hata Malaika wa Mbinguni na Mwenyezi Mungu nae anakipenda na yupo pamoja nami.
Kitendo alichokifanya Lionel Messi usiku wa kuamkia leo na yale matendo ambayo amekuwa akiyafanya huko nyuma ni dhahiri kwamba Lionel Messi ni Mungu wa mpira hapa Ulimwenguni na yule ' mchezaji ' wa ' hovyo hovyo ' na anayebahatisha Christiano Ronaldo ni Lucifa / Shetani wa mpira hapa Duniani.
Ukiona GENTAMYCINE nakukubali jua ' umebarikiwa ' kweli na ukiona nakukataa / nakupuuza / nakudharau basi usipoteze muda kuhoji bali jua tu kwamba Wewe una matatizo pamoja na ' nuksi ' hivyo jipya.
Mpaka sasa sijaona Mtu mwenye ' Kipaji ' cha kipekee na aina yake kabisa kwa uchezaji Soka hapa Ulimwenguni kama Lionel Messi ' La Pulga ' na ifike wakati sasa wale wote ambao mlikuwa mnamchukia Messi sasa tafajarini upya na muungane na GENTAMYCINE katika kumpenda na kumkubali mwenye mpira wake Ulimwenguni Lionel Messi.
Kwa mtihani mgumu ambao Argentina imeupata jana leo natangaza rasmi na mapema kabisa kwamba katika Kombe la dunia la mwakani huko nchini Urusi iwe isiwe Timu ya Taifa ya Argentina ndiyo itatwaa / itachukua Ubingwa. Kama Argentina hii ya Lionel Messi haitochukuwa Ubingwa wa World Cup mwakani 2018 huko Urusi GENTAMYCINE naahidi hapa hapa kuwa nitaenda kupiga ' Selfie ' mubashara na wale ' Mamba ' wengi wanaopatikana katika Mto Ruaha kisha baadae ' wanitafune ' nipotee kabisa kama walivyopotea wengine.
I love Argentina
I love Lionel Messi
I hate Portugal
I hate Christiano Ronaldo
Nawasilisha.
Fuatilia post zangu. Nimeelezea cha kujifunzaYakujifunza kubebwa huko morocco??
Natangaza rasmi na mapema kabisa kwamba katika Kombe la dunia la mwakani huko nchini Urusi iwe isiwe Timu ya Taifa ya Argentina ndiyo itatwaa / itachukua Ubingwa.
Messi ajifunze kwa Ronaldo? hahaha ajifunze kitu gani labda kwa mfano?
Kulifikisha taifa fainali 4 tu inaonekana dhahiri jinsi gani uwezo wa Messi upo juu sana kinachokosekana ni bahati tu yakunyakuwa kombe.Ajifunze Kuipa Timu Yake Ya Taifa Trophy Kama Alivyofanya Ronaldo Kuipa Ureno EURO...
Lakini Ameshacheza Fainali 4 nakuishia Kuwapa Walatini Kombe tu yeye Akila Kwa Macho...
Heshima Kwa URUGUAY na CHILE kwa Kumfunza Messi Nna Ya Kunyanyua Kwapa...
Kulifikisha taifa fainali 4 tu inaonekana dhahiri jinsi gani uwezo wa Messi upo juu sana kinachokosekana ni bahati tu yakunyakuwa kombe.
Ronaldo kaifikisha Ureno fainali ngapi?