Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,924
- 3,904
Duu..Hiyo adhabu uwezekano ni mkubwa akatumikia akiwa nnje
Ndio maana hatutaki kwenda ulaya
Umeonaeeeee?hahahahah! wala kukutana na netanyahu!
...hahaa,nimefurahi vile umenielewaKwahiyo?
Sio hapa tu, hata adhabu aliyopewa messi ni ya kiupendeleo sana ili asiende jela.Hapa kwetu mtu mwenye pesa na mtu maarufu huwa hawafugwi sijuwi Kwa utawala huu John pombe magufuli
Messi amehukumiwa miezi 21 kwa kukwepa kodi nchini Spain.
≠=============
Argentina and Barcelona footballer Lionel Messi has been sentenced to 21 months in prison for tax fraud, Spanish media say.
His father, Jorge Messi, was also given a jail term for defrauding Spain of €4.1m (£3.5m; $4.5m) between 2007 and 2009.
They also face millions of euros in fines for using tax havens in Belize and Uruguay used to conceal earnings from image rights.
However, they are likely to avoid jail.
Under the Spanish system, prison terms under two years can be served under probation.
Source: BBC
View attachment 363539
We mjinga soma kilichoandikwa na hata hii heading niliyotumia ndio heading kwenye gazeti husika.Wewe muongo kwa sheria za spain Kifugo ambacho ni less than 24 month unafungwa kifungo cha nje. Huo uongo umeutoa wapi?