Lion killed in Mbagala, Dar es sallam

Watu

JF-Expert Member
May 12, 2008
3,231
1,470
I have just been informed that a lion has been killed in Mbagala area.....One person injured
 
Well, i wnt be surprised if a shark injured pple in dodoma. Tz evrything's possible!
 
The lion corpse has been taken to mbagala kizuiani police post!!
Kashuhudie kama huamini!!!
 
You mean transported from porini to mbagala and killed or what sir?
 
Typical of Tanzania the expected never happens and the unexpected always happen. I wouldnt be suprised.
 
Labda alikuwa wa kutengeneza ili amfuate Dr wetu, yaaani Mbagala hii hii ninayoifahamu! Duuuuh acha kubisha bisha kitu usijoijua!
 
acha kubisha bisha jambo usilojua eheeeeeee sijui nini fafanua x3
 
Du Mbagala kama Mbekenyela!!
aaahhaaaaaa, we hujui kuwa wakazi wengi wa Mbagala wanatokea huko!!! Halafu nadhani atakuwa ni wa kuchongwa, swali, polisi kapelekwa akiwa mzima au, hakuna ofisi ya maliasili
 
Mbagala nadhani ni mwisho wa jiji labda inapakana na pori - hivyo tukio hilo si la ajabu mno.
 
Mbagala na Mkuranga jamani si mbali na si mnajua hii hali mbaya ya inflation/economic crisis zimeikumba mpaka mbuga zetu huko wanyama wanahama hama kutafuta malisho na maji so simba wamejikuta wakisogea karibu na makazi ya watu kufuata mbuzi, kondoo ng'ombe na sometimes BINADAMU
 
Back
Top Bottom