Well, i wnt be surprised if a shark injured pple in dodoma. Tz evrything's possible!
Ahahahaaah!! Acha utani bwana!Inabidi hili nalo liingizwe kwenye katiba mpya.
Hapana bwana, huyo LAZIMA wa Chadema!Wa ccm huo
aaahhaaaaaa, we hujui kuwa wakazi wengi wa Mbagala wanatokea huko!!! Halafu nadhani atakuwa ni wa kuchongwa, swali, polisi kapelekwa akiwa mzima au, hakuna ofisi ya maliasiliDu Mbagala kama Mbekenyela!!