Linux (Ubuntu, kubuntu, Debian, fedora, linux mint, kali linux, android etc) special thread

Jaribu hizo code kwenye Terminal, mkuu
sudo add-apt-repository -y ppa:upubuntu-com/edu
sudo apt-get update
sudo apt-get install aarddict

halafu itafuta dictionary kwenye Dash
Nilivyoweka code ya kwanza imeniletea hivi...

'This PPA does not support xenial'
Cannot add PPA: ''This PPA does not support xenial''.
 
Kwa wale watu wa graphic, zipo software kadhaa ambazo unaweza kufanya mambo mengi tu, baadhi ya hizo ni
1. Blender
2. Gimp

Jinsi ya kuinstall, bonyeza ALT+T, kufungua terminal halafu andika codes zifuatazo
Gimp, kwanza update
Code:
sudo apt-get update
sudo apt-get install gimp

Blender
Code:
sudo apt-get install blender

Blender 3D ni software nzuri sana, ila inataka muda mrefu wa kjifunza , vinginevyo utatoka kapa tu
 
Poa mkuu nilikuwa sijaufahamu,ninachoona mimi ni windows katika hii desktop sio themes bali"Activities" zote ulizofungua kwenye desktop yako,,,,sifikirii kama hiyo unaiyona ni "Themes" hizo ni activities alizofungua jamaa ambazo ziko kwenye desktop yake.... Ubuntu 17.04 kama sikosei kwenye browser juu upande wa kushoto kuna maneno yameandikwa "Activities" ukiponyeza hayo maneno utapata windows yenye activities zote ulizozifungua...

Anyway mkuu huyu jamaa anatumia firefox website hiyo unazona ni mwanzo wa page ya firefox,hizo ni wesite zote alizoingia katika firefox...:D

Pamoja na jitihada zote kukuelewesha mada yangu naona haujanielewa!
Hizo habari za firefox mimi nimeongelea wapi?
May be you're a noob to understand what I mean!

Ila angalia hizi picha chini bila shaka utaona tofauti na utaelewa msingi wa swali langu!

unity-desktop-environment-on-ubuntu-14.04.png


vs

ubuntu-touch-1.jpg
 
Nilikuwa nimeikumbuka mint yangu kwenye kilaptop cha kuchezea juzi,Linux came a long way fromthe Red Hat days ambako interface ilikuwa ni afterthough.
 
Pamoja na jitihada zote kukuelewesha mada yangu naona haujanielewa!
Hizo habari za firefox mimi nimeongelea wapi?
May be you're a noob to understand what I mean!

Ila angalia hizi picha chini bila shaka utaona tofauti na utaelewa msingi wa swali langu!

unity-desktop-environment-on-ubuntu-14.04.png


vs

ubuntu-touch-1.jpg
Nimekufahamu mkuu usipanick.....,jana huyu mama alikuwa na kitu kikali,gilasi mia tano...,samahani mkuu
 
Pamoja na jitihada zote kukuelewesha mada yangu naona haujanielewa!
Hizo habari za firefox mimi nimeongelea wapi?
May be you're a noob to understand what I mean!

Ila angalia hizi picha chini bila shaka utaona tofauti na utaelewa msingi wa swali langu!

unity-desktop-environment-on-ubuntu-14.04.png


vs

ubuntu-touch-1.jpg
Kuna theme nyingine kama xubuntu inafanya system kuwa slow mi niliamua kuitoa
 
ipi tofaut ya kuitumia ubuntu huku umeibebanisha na os ingne kama window,,na kuinstall ubuntu tu peke yake bila kuwa na os nyingne kwenye pc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom