Babu wa Loliondo
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 323
- 105
WanJF wenzangu japokua mm sijafanikiwa kuwemo kwenye orodha ya walioitwa kwenye interview ya tar 15.12.2012 na najua website ya Secretariet ya utumishi haifunguki kwa mda sasa na wengi wetu tunahangaika kujua kama tumeitwa kwenye hii interview, hivyo nawashauri kufungua website ya Wizara ya Utumishi Public Service Management, link ya hiyo orodha inapatikana humo! Au unaweza ku-download attachment hapa JF chini imeambatanishwa
Asanteni sana.
Asanteni sana.