johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,724
Wakuu naombeni msaada, niliibiwa simu hivi karibuni kibaya zaidi mwizi namfahamu na picha zake ninazo tatizo ni kwamba nimejaribu kwenda polisi sijapata msaada zaidi ya kufungua faili tu.
Mbaya zaidi sasa hivi huyo mtu ananipigia simu kwa namba yake anadai amewekewa bond kwahiyo kama ninaitaka nimtumie hela ambayo ametoa kwa huyo mwizi ila hataki nimuone nimtumie kwanza, then ndio anipe sasa nataka nipate msaada wa kutrack hiyo simu yake nijue wapi alipo.
Mbaya zaidi sasa hivi huyo mtu ananipigia simu kwa namba yake anadai amewekewa bond kwahiyo kama ninaitaka nimtumie hela ambayo ametoa kwa huyo mwizi ila hataki nimuone nimtumie kwanza, then ndio anipe sasa nataka nipate msaada wa kutrack hiyo simu yake nijue wapi alipo.