Mi nataka maneno haya nijue Miss Natafuta atamwambia nani?Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako. Isaya 4:1
Wakiambiwa ukweli, wanasema wametukanwa.... tehteehhhHii Awamu Inawasambua Sana Wanaume Wa Dar,kulia Lia Tu!
Wanaume wa Daslam naona mshaanza kujitoa ufahamu kwa kujifanya walemavu ili muhalalishe uben10 kwa kutumia maandiko matakatifu....eehhhh
Amakweli wanaume tunazidi kutoweka kwa kasi kwenye uso wa Dunia aiseeeee
Wanaji totosha, kuji bebisha na kuji ben10nisha.... tehteehhhKatika ubora wao, wanaume wa Dar oyeeeee!
Hahaha wanaume wa dar wanapenda dezo sana. Wamesahau kuwa mwanaume ni mtafutaji. Wanataka wao ndio waleleweWanaume wa Daslam naona mshaanza kujitoa ufahamu kwa kujifanya walemavu ili muhalalishe uben10 kwa kutumia maandiko matakatifu....eehhhh
Amakweli wanaume tunazidi kutoweka kwa kasi kwenye uso wa Dunia aiseeeee
Wanawake ndiyo watafutaji, mfumo wa dunia umebadilisha MUHUBIRI 31Hahaha wanaume wa dar wanapenda dezo sana. Wamesahau kuwa mwanaume ni mtafutaji. Wanataka wao ndio walelewe
hahahah ninoma aiseeeWanaume wa Daslam naona mshaanza kujitoa ufahamu kwa kujifanya walemavu ili muhalalishe uben10 kwa kutumia maandiko matakatifu....eehhhh
Amakweli wanaume tunazidi kutoweka kwa kasi kwenye uso wa Dunia aiseeeee
Daah nimecheka sana aiseehWanaume wa Daslam naona mshaanza kujitoa ufahamu kwa kujifanya walemavu ili muhalalishe uben10 kwa kutumia maandiko matakatifu....eehhhh
Amakweli wanaume tunazidi kutoweka kwa kasi kwenye uso wa Dunia aiseeeee
Binafsi nilisha mpiga marufuku kijana wangu wa kiume "kupenda" asije akaishi Dar, maana hawa vijana wa huko hawana tofauti na dadazao.Daah nimecheka sana aiseeh